CPU
JF-Expert Member
- Jan 13, 2011
- 3,858
- 687
Watamfukuza Okwi........................wala sina shaka na hilo,wapeni muda mtaona..
Sidhani
Maana hata kama Okwi angefunga ile penati bado Yanga angekuwa Bingwa.
Timu zote zingekuwa na goal difference ya 25, lakin kipengele kinachofuata baada ya hicho kilikuwa ni kuangalia nani alimfunga mwenzake walipokutana.