BASIASI
JF-Expert Member
- Sep 20, 2010
- 9,732
- 5,006
Katika hali ya kusikitisha kama sio ujasiri klabu ya yanga imetangza rasmi kutoingiza timu uwanjan wakiongea kwa nyakati tofauti baadhi ya viongozi wa YANGA wakiwa na msemaji mkuu wa yanga l sendeu wamesema waliwapa taarifa toka jana TFF kwamba wamechoka na upuuzi wa kuibiwa hata wao wako kibiashara zaidi alisema sendu
Katika hali ya kusikitisha sendeu anasema hawa jamaa walitupa cheki mara mbili na zote zimebounce akuna hela
sasa unajiuliza hela zatu zimeenda wapi???na si hapo akasema walifwatilia fedha za mchezaji golikipa bora bwamdogo
yaw walipozitumia wakaanza kudai wanataka aje mwenyewe yaw amefika anazaidi ya miezi kadhaa na nikikwambia
amekwenda zaidi ya mara kumi pale TFF wanadanganya na huyu mhuni wao sijui boniface mi nasema leo lazima kieleweke
na wasifikirii YANGA ni wapuuzi wa ktumiwa kwenye biashara zao mwisho wa siku wanatuacha tunateseka
akisimulia kwa uchungu kiongozi mwingine amesema walishatabainisha TFF na kwa kuwa mpaka sasa awajatuletea hela zetu milion 15.5
na za yaw million 2.7 wakidai wamezila wanatafuta sasa sisi tunatangaza rasmi leo atacheza SIMBA VS TENGA/BONIFACE WAMBURA
Sisi lazima wajue hawa wachezaji wanafamilia zao na wanaishi kutokana na mpira tunapowaambia kila siku atujapewa hela zetu wanatuona wahuni na kwakuwa wao ndio wanacheza wameamua sasa waangalie hizo hela watapataje kwanza alisema sendeu
Katika hali ya kusikitisha sendeu anasema hawa jamaa walitupa cheki mara mbili na zote zimebounce akuna hela
sasa unajiuliza hela zatu zimeenda wapi???na si hapo akasema walifwatilia fedha za mchezaji golikipa bora bwamdogo
yaw walipozitumia wakaanza kudai wanataka aje mwenyewe yaw amefika anazaidi ya miezi kadhaa na nikikwambia
amekwenda zaidi ya mara kumi pale TFF wanadanganya na huyu mhuni wao sijui boniface mi nasema leo lazima kieleweke
na wasifikirii YANGA ni wapuuzi wa ktumiwa kwenye biashara zao mwisho wa siku wanatuacha tunateseka
akisimulia kwa uchungu kiongozi mwingine amesema walishatabainisha TFF na kwa kuwa mpaka sasa awajatuletea hela zetu milion 15.5
na za yaw million 2.7 wakidai wamezila wanatafuta sasa sisi tunatangaza rasmi leo atacheza SIMBA VS TENGA/BONIFACE WAMBURA
Sisi lazima wajue hawa wachezaji wanafamilia zao na wanaishi kutokana na mpira tunapowaambia kila siku atujapewa hela zetu wanatuona wahuni na kwakuwa wao ndio wanacheza wameamua sasa waangalie hizo hela watapataje kwanza alisema sendeu