Kikosi chetu na Zamalek leo hiki hapa:
1.Shaban Hassan Kad - 1
2.Shadrack Nsajigwa - 2
3.Stephano Mwasika - 3
4.Nadir Haroub Cannavaro - 23
5.Athuman Iddy Chuji - 18
6.Juma Seif Kijiko - 29
7.Omega Seme - 9
8.Haruna Niyonzima - 8
9.Davies Mwape - 28
10.Kenneth Asamaoh - 26
11.Hamis Kiiza -20
Substitutes:
1.Said Mohamed -30
2.Oscar Joshua - 4
3.Chacha Marwa - 24
4.Kiggi Makasy - 7
5.Shamte Ally - 15
6.Pius Kisambale - 11
7.Jeryson Tegete - 10
Sijui ni kwa nini Papic anawaweka benchi wataalamu Pius Kisambale na Shamte Ally......Hawa ni wazuri sana ukilinganisha na Mwape na Asamoah.....Huyo Asamoah mechi iliyopita na Ruvu Shooting alikuwa anakimbia uwanjani hovyo tu.....
Sina imani kabisa na kikosi chetu hiki cha leo...Shadrack Nsajigwa!!!!.................Mmmmmmmmmmh
Halafu pale nyuma huyo Chuji ni mzito sijapata kuona...