kidunula1
JF-Expert Member
- Apr 2, 2016
- 6,305
- 6,341
Sahzi natamani hata baadae Leo Yanga icheze tena ili niburudike. Na wana Simba nao wanaombea hivyohivyo mana burudani tunaipata woteTimu inaburudisha sasa sio ile ya Zahera.
Yaani unaangalia mpira Timu ya Wananchi huku moyo ukiwa na amani kabisa.