Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

20200309_090031.jpg
Mwenyekiti wa Young Africans Mshindo Msolla hapo jana alikamkabidhi Tuzo maalumu Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika CAF Ahmad Ahmad kabla ya mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania dhidi ya Simba Uwanja wa Taifa.
 
Na tumewatandika bakora moja matata sana.
Wanatamani waseme Yanga ni mbovu ila kila wakikumbuka jinsi tulivyosawazisha kwenye ile mechi ya kwanza na kipigo toka kwa mwamba Morrison Bernard inabidi wanyamaze kama wamehost msiba.
 
Back
Top Bottom