Shadeeya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 49,759
- 118,798
Kosa gani eti?Atakua anafanya kosa kubwa sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kosa gani eti?Atakua anafanya kosa kubwa sana
Hahahaa. Nyie wenye saini halali si mngemtambulisha jana kama ilivyovuma cha ajabu mpo kimyaaaaaa.yanga acheni UTAPELI.
kughushi saini ya morri si sawa HAIKUBALIKI
Sent from my SM-G928F using JamiiForums mobile app
Hahahaha, kifupi anko Hans anaforce sana ,pia asiwe MTU wa kulazimisha lazimishaHahahaa. Nyie wenye saini halali si mngemtambulisha jana kama ilivyovuma cha ajabu mpo kimyaaaaaa.
😀😀😀 Na mie nasisitiza wamtangaze basi. 😀😀Mmeingizwa chaka. Saa saba mchana imeshapita.
Mtangazeni basi. Mwishowe nyie waswahili wa Simba na Azam mtachokwa. Mnawapiga sana hela wamanga na wahindi wenu.
Ujue bana hizi mambo bana hivyo na wewe umeamini anachokisema huyo Morison. LolHayo maneno anasema morrison mwenyewe
Kuwa GSM WAMEGHUSHI SAINI YAKE..
waambieni GSM waache utapeli
Sent from my SM-G928F using JamiiForums mobile app
Hahahaaa.Duh ... kisa Morrison?
Yatamkuta ya kina Shishimbi, Morison na wenzake. Maana Yanga wanaangalia wajibu wa mchezaji ila haki zake wanamkopa wanamwambia eti awe na mapenzi na klabu!!! Narudia tena Sure Boy anafanya maamuzi mabovu kabisa kwenda Chura FCKosa gani eti?
Ohooooo. 😂kasome (Tanzania trade and service mark act ) uje ubwabwaje mavi ya kuku yako hapa
Wachezaji kibaoAliyetapeliwa nani? 😎
Naunga mkono hojaSimba ,Hans nae msikute kaaingizwa chaka , na huyo Morison , na km kweli Simba + Hans ,mmempa hela BM nanyi mmepigwa ,kwan kanuni itawabana
Kifupi mwambieni Hans ktk hili kdg kateleza asiforce vitu sana hasa pale tff
Wachambuzi mtaongezeka sana mwaka huu. Na bado.Yatamkuta ya kina Shishimbi, Morison na wenzake. Maana Yanga wanaangalia wajibu wa mchezaji ila haki zake wanamkopa wanamwambia eti awe na mapenzi na klabu!!! Narudia tena Sure Boy anafanya maamuzi mabovu kabisa kwenda Chura FC
Na nikasema huyu jamaa kajua kucheza na akili za wa Tz mana nimesikia sehemu eti anajitapa kwamba anaeza saini Yanga, Simba na Azam halafu akifungiwa anarudi kwao Ghana kula Maisha.Simba ,Hans nae msikute kaaingizwa chaka , na huyo Morison , na km kweli Simba + Hans ,mmempa hela BM nanyi mmepigwa ,kwan kanuni itawabana
Kifupi mwambieni Hans ktk hili kdg kateleza asiforce vitu sana hasa pale tff
Hahahaha,hivi Simba day hkn siku hz eehWachambuzi mtaongezeka sana mwaka huu. Na bado.
#DaimaMbeleNyumaMwisho
Leta ushahidi. 😎Wachezaji kibao
Hans yupi?Simba ,Hans nae msikute kaaingizwa chaka , na huyo Morison , na km kweli Simba + Hans ,mmempa hela BM nanyi mmepigwa ,kwan kanuni itawabana
Kifupi mwambieni Hans ktk hili kdg kateleza asiforce vitu sana hasa pale tff
Wala haiitaji kua na Phd kujua kua dogo anachemka. Hata mjomba Ngasa alionywa sana aachane na Chura FC akaendeleze kipaji chake na kujikusanyia dolari za Trump kule El Mereikh Sudan, Yanga wakamlaghai na "mapenzi ya club". Matokeo yake ndio kama hivyo tena, jua limemchwea, atatafuta timu ya mchanganiWachambuzi mtaongezeka sana mwaka huu. Na bado.
#DaimaMbeleNyumaMwisho
Hahahaha kuna siku nilikua na mchambuzi mmoja wa wasafi sehemu tunayajenga ,aliliongelea hii kituNa nikasema huyu jamaa kajua kucheza na akili za wa Tz mana nimesikia sehemu eti anajitapa kwamba anaeza saini Yanga, Simba na Azam halafu akifungiwa anarudi kwao Ghana kula Maisha.
Hivyo si ajabu hawa pia wameingizwa chaka huku akijua dhahiri ana mkataba halali Yanga.
Wapi mjomba Ngasaaa🤣🤣🤣Leta ushahidi. 😎