Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

Amakweli ukitaka kumuua nyani usimuangalie usoni. Kama sio nyoe vile mliomficha El Mereikh wasiondoke nae

Ila sasa Shadeeya, mpeni japo ukocha wa timu yenu ya vijana(kama mnayo lakini maana kwa usanii tu hamjambo). Itakua sio vizuri kumtupa kabisa ujue🤣
Ni enzi hizo akiwa kijana na si sasa.

Asubiri huruma ya uongozi kama wataona anafaa. Teh teh.
 
Sasa ukweli upo wapi?.
Inakuwaje mchezaji unayemlipa mshahara na ukamsainisha miaka 2.yeye aje atangaze amesaini miezi 6.
Hamuoni kamaa hapo kuna UDANGANYIFU umetokea?..
Na ndo maana nasema GSM NI MATAPELI. mpaka pale watakapotoa ukweli kuwa ni nani muongo kati yao na Morrison

Sent from my SM-G928F using JamiiForums mobile app
Wewe unaijua historia ya Morrison huko alipotoka?, ingekua ni mara ya kwanza scenario kama hii kutokea tungesema labda Yanga ni waongo, lakini hata huko alipotoka kafanya uhuni kama huu anaoufanya sasa hivi, sport extra waliwahi sana kuongelea aliyoyafanya Morrison huko team za nyuma alizotoka.
Sipo kumtetea yoyote ila hata kama Yanga wanasema uongo ila kwa back ground ya vitu alivyovifanya Morrison huko alipotoka tayari lazima umtilie mashaka.

Lazima ifike hatua kwenye issue serious kama hizi, ushabiki uwekwe pembeni, watu waongee mambo kwa uhalisia.

Anaweza kuja Simba au Azam lakini tatizo lake he is not a honest man, he put money first than trust, timu yoyote inayo mu offer pesa kubwa tofauti na aliyokua nayo na mkataba yupo radhi kwenda hata kwa ku force.. Na kutumia uongo, Kitu ambacho sio sahihi.
 
USITUFOKEEE. [emoji23][emoji23][emoji23]
Hahahaha, mtani Simba wamuulize vzr Hans km kweli kamsainisha BM au kampa hela tu na malazi ?

Na Hans asiforce Tff , kuukataa mkataba wa makubaliano ya BM na Yanga wa miaka Miwili

Deal imechezwa gizani ,inamalizikia hadharani

Tatizo wa bongo Mnapenda kona kona ,sasa Ghanian Boy anawachezesha shere ,humu miljpia gharama zote , Yanga mna muhudumia ,Simba mnamhudumia

Badilikeni wa bongo
 
Yanga Daima Mbele Nyuma.................🤣
Hakika.
2457158_FB_IMG_15948344390726987.jpg
 
Ni enzi hizo akiwa kijana na si sasa.

Asubiri huruma ya uongozi kama wataona anafaa. Teh teh.
Yaliyomkuta Mjomba Ngasa ndio yanamsubiri Salum Abubakar. Nimeamini kweli kuna wakati binadamu anachoshwa na hali yake nzuri ya maisha na anajikuta anatafuta changamoto ambazo wakti mwingine zinamuweka kwenye wakati mgumu hata kiuchumi.

Sure Boy anatoka alipokua analipwa mshahara mzuri bila kuzunguushwa anaenda kwenye timu atakapokua anakopwa mshahara wake hata miezi mitatu🤣🤣🤣🤣
 
Mkuu mimi nasema GSM ndo wana matatizo.
Wao ndo wanatakiwa wa muite mchezaji na mkataba wake na wao waje na mkataba wao.waliomsainisha morrison waitwe waandishi wa habari alafu kila mmoja aone she wapi kasaini miaka miwili au miezi 6.
Hili nalo ni GUMU.
hata kama tunasema mkataba ni SIRI lakini kwa Hali ya sasa ilivyo inabidi morrison na GSM watoe mikataba yao tuone imesainishwa miaka 2 au miezi 6
Wewe unaijua historia ya Morrison huko alipotoka?, ingekua ni mara ya kwanza scenario kama hii kutokea tungesema labda Yanga ni waongo, lakini hata huko alipotoka kafanya uhuni kama huu anaoufanya sasa hivi, sport extra waliwahi sana kuongelea aliyoyafanya Morrison huko team za nyuma alizotoka.
Sipo kumtetea yoyote ila hata kama Yanga wanasema uongo ila kwa back ground ya vitu alivyovifanya Morrison huko alipotoka tayari lazima umtilie mashaka.

Lazima ifike hatua kwenye issue serious kama hizi, ushabiki uwekwe pembeni, watu waongee mambo kwa uhalisia.

Anaweza kuja Simba au Azam lakini tatizo lake he is not a honest man, he put money first than trust, timu yoyote inayo mu offer pesa kubwa tofauti na aliyokua nayo na mkataba yupo radhi kwenda hata kwa ku force.. Na kutumia uongo, Kitu ambacho sio sahihi.

Sent from my SM-G928F using JamiiForums mobile app
 
Wewe unaijua historia ya Morrison huko alipotoka?, ingekua ni mara ya kwanza scenario kama hii kutokea tungesema labda Yanga ni waongo, lakini hata huko alipotoka kafanya uhuni kama huu anaoufanya sasa hivi, sport extra waliwahi sana kuongelea aliyoyafanya Morrison huko team za nyuma alizotoka.
Sipo kumtetea yoyote ila hata kama Yanga wanasema uongo ila kwa back ground ya vitu alivyovifanya Morrison huko alipotoka tayari lazima umtilie mashaka.

Lazima ifike hatua kwenye issue serious kama hizi, ushabiki uwekwe pembeni, watu waongee mambo kwa uhalisia.

Anaweza kuja Simba au Azam lakini tatizo lake he is not a honest man, he put money first than trust, timu yoyote inayo mu offer pesa kubwa tofauti na aliyokua nayo na mkataba yupo radhi kwenda hata kwa ku force.. Na kutumia uongo, Kitu ambacho sio sahihi.
Pia inabidi wajiulize katika ile list ya wachezaji tunaowaacha kulikuwa na ugumu gani Morison kuwekwa au wale ambao mkataba wao umeisha sababu ukiangalia ametufanyia vituko vya hovyo ambavyo kama mkataba usingekuwepo basi tungemuachilia mbali.

#Hafaiyulejamaa.
 
Hahahaha, mtani Simba wamuulize vzr Hans km kweli kamsainisha BM au kampa hela tu na malazi ?

Na Hans asiforce Tff , kuukataa mkataba wa makubaliano ya BM na Yanga wa miaka Miwili

Deal imechezwa gizani ,inamalizikia hadharani

Tatizo wa bongo Mnapenda kona kona ,sasa Ghanian Boy anawachezesha shere ,humu miljpia gharama zote , Yanga mna muhudumia ,Simba mnamhudumia

Badilikeni wa bongo
Nadhani Morisson amekuwa Darasa tosha Mtani.
 
Yaliyomkuta Mjomba Ngasa ndio yanamsubiri Salum Abubakar. Nimeamini kweli kuna wakati binadamu anachoshwa na hali yake nzuri ya maisha na anajikuta anatafuta changamoto ambazo wakti mwingine zinamuweka kwenye wakati mgumu hata kiuchumi.

Sure Boy anatoka alipokua analipwa mshahara mzuri bila kuzunguushwa anaenda kwenye timu atakapokua anakopwa mshahara wake hata miezi mitatu🤣🤣🤣🤣
Wacha kijana aje kwa Wananchi hizi porojo hamjaanza kuziongea leo na cha ajabu wachezaji wanasinya tu mbali na yote hayo.
 
Back
Top Bottom