Ile timu ina point 48.. Vitalo ana point 44..
hakuna timu nyingine hapo katikat yao ..zimepishana point 4 tu
Hiyo timu ilipigwa 5-1 na Gor mahia
nyinyi mmecheza nao WAKIWA PUNGUFU kuanzia dk ya 30, mmepata matokeo hafifu , matokeo dhaifu sana , Utofaut wa Point 4 kati yao na Vitalo hauwez ifanya ikawa bora kuliko Vitalo, mmoja kasuluhu michezo 9 mwingine 8 ..mmoja kapigwa 8 mwingine 10.. ni timu zilizo kwenye daraja moja , uwezo sawa.. the thing is, walilimwa umeme na ukashindwa pata tokeo la maana tena ukiwa kwenye ubora wako, ni matokeo hafifu, dhaifu