Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

Hahahaa. Kumbe goli zimeongezeka mana niliacha 3 - 1. Hahahahahaaaaa.

Wacha niwahi natumai sio bao la mkono. [emoji23][emoji23]
Mtani hata mtuseme vipi tutasimama na MO pamoja na CEO wetu mpya barbar, tunamwamini MO maana alituletea Senzo hadi watani zetu mmemtamani mmemchukua.
Ya kwetu tuachie sisi, nyie bakini na GSM wenu
 
Umeshasahau kama mko mbioni kununuliwa. [emoji23][emoji23]

Yaani itakuwa kwenye kila idara yenu kinachozungumzwa nyie ni yes tu.
Mtani hatutakua wa kwanza sisi, mlianza nyie, GSM hamekiuka mkataba hajaleta jezi lakini hata hamhoji, mmesema tu ndio GSM tutatumia zile zile za zamani.
GSM kamleta mtendaji kinyume na katiba yenu wala hata hamhoji. Ya kwetu tuachie sisi. Nyie pambaneni na hali zenu
 
Unadhani tunakataa basi Mtani. Wasiwasi wetu Simba isije geuzwa timu ya Rugby tu. 😂😂😂😂
Mtani hata mtuseme vipi tutasimama na MO pamoja na CEO wetu mpya barbar, tunamwamini MO maana alituletea Senzo hadi watani zetu mmemtamani mmemchukua.
Ya kwetu tuachie sisi, nyie bakini na GSM wenu
 
Mtani hatutakua wa kwanza sisi, mlianza nyie, GSM hamekiuka mkataba hajaleta jezi lakini hata hamhoji, mmesema tu ndio GSM tutatumia zile zile za zamani.
GSM kamleta mtendaji kinyume na katiba yenu wala hata hamhoji. Ya kwetu tuachie sisi. Nyie pambaneni na hali zenu
Leo hii Mtani. 🤔

Hahahahaaa. Hamna kuachiwa ya kwenu wakati ndugu zetu mnauzwa huku wenyewe mmetulia tuuli kisa tu shida yenu ushindi. Lol.

#Haiwezekani. 😎
 
Unadhani tunakataa basi Mtani. Wasiwasi wetu Simba isije geuzwa timu ya Rugby tu. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji1] [emoji1] [emoji1] mbona watani mnamuogopa sana MO. MO anavyoipenda Simba hawezi kuona Simba inafanya vibaya maana analia na kulia. Nyie mwangalieni mme wenu gsm maana yule hata uchungu wa timu haujui yeye anaangalia biashara zake, ndo jezi hadi Leo hajaleta
 
Leo hii Mtani. [emoji848]

Hahahahaaa. Hamna kuachiwa ya kwenu wakati ndugu zetu mnauzwa huku wenyewe mmetulia tuuli kisa tu shida yenu ushindi. Lol.

#Haiwezekani. [emoji41]
Hata Nyerere alianza kuzisaidia nchi nyingine kupata Uhuru baada ya nchi yake kua huru. Sasa nyie wenyewe timu yenu imeuzwa kimya kimya kwa gsm lakini mnataka mtusaidie sisi?
Mtani mbona mnajifanya nyie hamna hamjioni. Mwenyekiti wenu saizi ataongea jambo hamsikulizi hadi aje wa GSM ndo akiongea mnamsikiliza lakini mnajiona mko salama, mwenyekiti aliwaomba mchangie kama mnavyojiita timu ya wananchi lakini hamkumsikiliza mkataka maelezo ya Mme wenu gsm[emoji1] [emoji1] [emoji1]
 
Hata Nyerere alianza kuzisaidia nchi nyingine kupata Uhuru baada ya nchi yake kua huru. Sasa nyie wenyewe timu yenu imeuzwa kimya kimya kwa gsm lakini mnataka mtusaidie sisi?
Mtani mbona mnajifanya nyie hamna hamjioni. Mwenyekiti wenu saizi ataongea jambo hamsikulizi hadi aje wa GSM ndo akiongea mnamsikiliza lakini mnajiona mko salama, mwenyekiti aliwaomba mchangie kama mnavyojiita timu ya wananchi lakini hamkumsikiliza mkataka maelezo ya Mme wenu gsm[emoji1] [emoji1] [emoji1]
Hahahaaa. Mtani hivyo mnatuiga?
 
KAMA KAWAIDA MAZOEZI YALIENDELEA JANA JIONI IKIWA NI MAANDALIZI YA NEW SEASON 2020/2021
20200906_074527.jpg
 
Back
Top Bottom