Sesten Zakazaka
JF-Expert Member
- Sep 10, 2017
- 10,559
- 19,101
Nakusubiri kwa hamu siku hiyo maana nimeshatoa na oda kabisa ya dawa za pressure kwa ajili yako pale zile pasi za sambusa, kachori, vileje, vibibi na kababu zitakapokua zinapigwa golini kwakoHahahahaa. Siku hiyo ntakuja huko Duniani na tutaangalia wote ili tu nione vile huezi kaa kwenye kiti. 😀😀😀.
Najiamini atiii.
Tena maskini Mwambusi yeye ndio mmemuona wa kumtoa kafara ya lawama! Si ndio atakuwepo siku hiyo? Hata Kaze akiwepo mtashia kusema ," Kocha msaidizi kampotosha"