changaule
JF-Expert Member
- Jan 10, 2020
- 6,039
- 10,151
Hata Simba msimu uliopita alipata matokeo mechi tatu mfululizo kwa ushindi wa magoli ya offside.Mevhi tatu mfululizo mnapata matokeo kwa hisani refariii
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata Simba msimu uliopita alipata matokeo mechi tatu mfululizo kwa ushindi wa magoli ya offside.Mevhi tatu mfululizo mnapata matokeo kwa hisani refariii
Hahahahaa. Mtani umesahau kabiisaa kwamba nyie last season game kibao zilikuwa za kulazimisha matokea na hatukulalamika namna hii.Ile gari TUMPE REFA..
Ndo mwenye goli lake.
😂😂😂 😂😂😂Kaka penati Kaka..
Mnajifanya hamuoni
Tumalizie kwa kusema ilikuwa bahati yao.Nimetoka na masikitiko sana,hii game ilikuwa yetu kabisa,mbinu za kuanza kujilinda mapema ilikuwa mistake kubwa sana,ila ndiyo matokeo cos sare ni advantage kwetu
Mbona mlikua mnalalamika sana mpaka mkatutungia na jina kabisa eti "Miamala FC"? Tuseme na nyie mnatembeza miamala msimu huu?Hahahahaa. Mtani umesahau kabiisaa kwamba nyie last season game kibao zilikuwa za kulazimisha matokea na hatukulalamika namna hii.
Nionavyo tu saa hii mjipange namna mtatufikia na sio kulalamika.
Umemsikia Injinia Hersi jana? Kasema wao kama wadhamini wanataka timu ishinde. Kwa hiyo watafanya "juu chini" wahakikishe wanaondoka na ushindi katika kila mechi.Tumalizie kwa kusema ilikuwa bahati yao.
Na hapa ndo tunarudia kale kamsemo ka Nugaz kwamba "Bila jannja jannjja Yanga hafungwi na Simba"
Aaahhh!! Hizi kauli hata na sisi tulikuwepo nazo mwaka jana hivyo semeni sisi waleee tuko points nne mbele yenu.Umemsikia Injinia Hersi jana? Kasema wao kama wadhamini wanataka timu ishinde. Kwa hiyo watafanya "juu chini" wahakikishe wanaondoka na ushindi katika kila mechi.
Sasa pigia mstari hiyo "juu chini". Maana yake ikiwa ni pamoja na kuhakikisha miamala inatembea ili washinde
Kwani point 4 kitu gani Shadeeya! Ligi ndio kwanzaa haijafika hata round ya 11 tena mzunguko wa kwanza. Tunawapita kama upepo tu mbona🤪🤪🤪Aaahhh!! Hizi kauli hata na sisi tulikuwepo nazo mwaka jana hivyo semeni sisi waleee tuko points nne mbele yenu.
Hahahahaa. Mtani umesahau kabiisaa kwamba nyie last season game kibao zilikuwa za kulazimisha matokea na hatukulalamika namna hii.
Nionavyo tu saa hii mjipange namna mtatufikia na sio kulalamika.
Hizo point 4 Basi unaziona ni nyingi sana Masikini ya MUNGU @SHADEEY.Aaahhh!! Hizi kauli hata na sisi tulikuwepo nazo mwaka jana hivyo semeni sisi waleee tuko points nne mbele yenu.
Zingekuwa kidogo na wewe ungekuwa nazo basi Mtani. 😀😀Hizo point 4 Basi unaziona ni nyingi sana Masikini ya MUNGU @SHADEEY.
Ifike mara ngapi sema ikijurudia Mtani. 😎Zamu ya Simba ikifika msije mkalia
Doooh!!Kwani point 4 kitu gani Shadeeya! Ligi ndio kwanzaa haijafika hata round ya 11 tena mzunguko wa kwanza. Tunawapita kama upepo tu mbona🤪🤪🤪
Habari ndio hiyoooDoooh!!
Jifarijini tu.Habari ndio hiyooo
Wakati ndio utaamua Shadeeya. Muda si mrefu wanaocheka watanuna. Ninavyowajua Wananchi yale mahaba kwa Kaze yatapotea na yatafuatia matusi na kashfa🤣🤣🤣🤣Jifarijini tu.
Mkitahamaki hamuwezi kutufikia tena.
Ifike mara ngapi sema ikijurudia Mtani. [emoji41]