Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

Kaze aache rotation za kijinga, Bruno msimu huu pale United anacheza hadi friends match.. tukitoa makando kando yote na yeye kachangia hii game kuisha hv kwa kupanga kwake kikosi Cha kwanza cha kipuuzi
 
Yanga ni timu mbovu sana,na ubingwa mwaka huu mtausoma kwenye vichwa vya habari tu.
 
Kaze aache rotation za kijinga, Bruno msimu huu pale United anacheza hadi friends match.. tukitoa makando kando yote na yeye kachangia hii game kuisha hv kwa kupanga kwake kikosi Cha kwanza cha kipuuzi
Halafu si mara ya kwanza hata game ya juzi na Mbeya City Kocha ndo alituuza tena.
 
Kaze aache rotation za kijinga, Bruno msimu huu pale United anacheza hadi friends match.. tukitoa makando kando yote na yeye kachangia hii game kuisha hv kwa kupanga kwake kikosi Cha kwanza cha kipuuzi
Hata United ni yanga tu ila wao wamechangamka.
Vice versa is true
 
Hiyo penalty ina tofauti gani na tuliopigiwa kule mbeya, game mbili marefa wamechukua point 4 zetu
Ni kosa la kiufundi kwa team kubwa kama Yanga kuruhusu goli 3 kisha kutegemea huruma ya mwamuzi. Penalty haitolewi kienyeji kwa hisia kuwa mtu kanawa(Ball to hand na Hand to Ball, itategemea mwamuzi kaonaje na wasaidizi wake)
Hivyo bado Yanga munayo safari ndefu kupambana!
 
Back
Top Bottom