Shadeeya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 49,759
- 118,798
Rasmi jana klabu ya Yanga tumeingia makubaliano ya mkataba na Azam Media ya mashirikiano ya maudhui wenye thamani ya Shilingi bilioni 41 pamoja na VAT kwa kipindi cha miaka 10.
Makubaliano hayo yametiwa saini na Tido Mhando ambaye ni Afisa mtendaji mkuu wa Azam Media pamoja na Mwenyekiti wa Klabu ya Yanga, Dkt. Mshindo Msolla
Makubaliano hayo yametiwa saini na Tido Mhando ambaye ni Afisa mtendaji mkuu wa Azam Media pamoja na Mwenyekiti wa Klabu ya Yanga, Dkt. Mshindo Msolla