Smith Rowe
JF-Expert Member
- Sep 18, 2018
- 4,319
- 9,003
hii ni timu kweli?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji617][emoji617][emoji460][emoji460]Timu ya wanchi,timu kubwa zaidi nchini,timu pendwa kuliko zote nchini, wajenga nchi ni wananchi!!!
Mnakatamani ila kwa sasa uwezekano wa Luis kuchezea Yanga ni 0.0001% maana atakuwa amerudi nyuma kuchezea timu kama hii.Kwanza hako kajamaa kameuzwa na Simba kweli au kameuzwa na wenye nako?
Hatujali wala nini. 😎wanariadha kazini.
Hahahaaaaa. Bro kila tutakalotumia litaleta maana. 😀Hii sijui tuite no look chest au shoulder!?[emoji16]
Yap yap.Timu ya wanchi,timu kubwa zaidi nchini,timu pendwa kuliko zote nchini, wajenga nchi ni wananchi!!!
Wengine watakataa eti. 😀Ramos!
Tukiwa kwa Mzee MpiliWatani kwani Mnateseka mkiwa wapi eti?
Mnajua kujifarijiTimu ya wanchi,timu kubwa zaidi nchini,timu pendwa kuliko zote nchini, wajenga nchi ni wananchi!!!
Wewe tuambie ukweli kuhusu Luis ameuzwa kwenda wapi au ametambulishwa kwenye timu gani? Manake mengine ni makelele tu ambaya hayajathibitishwa na upande wowoteMnakatamani ila kwa sasa uwezekano wa Luis kuchezea Yanga ni 0.0001% maana atakuwa amerudi nyuma kuchezea timu kama hii.
Saafi.Tukiwa kwa Mzee Mpili
Nikimmiss Shadeeya huku simkosi kabisaKAMA KAWAIDA PRE SEASON INAENDELEA KWA TIMU YA WANANCHI.
View attachment 1904153
Kumbe. 😀Nikimmiss Shadeeya huku simkosi kabisa
Nyinyi mna watuKumbe. 😀
Hakika na huwa hatuna jambo dogo. TehNyinyi mna watu