Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

CAF Official Clubs Ranking (5-year ranking)
Viwango vya club mwa miaka 5

1. Al Ahly [emoji1093]
2. Espérance [emoji1249]
3. Wydad Casablanca [emoji1173]
4. Raja Casablanca [emoji1173]
5. Zamalek [emoji1093]
6. Mamelodi Sundowns [emoji1221]
7. TP Mazembe [emoji1078]
8. RS Berkane [emoji1173]
9. Horoya [emoji1119]
10. Etoile Sahel [emoji1249]
11. Pyramids [emoji1093]
12. Simba [emoji1241]
13. AS Vita [emoji1078]
14. Kaizer Chiefs [emoji1221]
15. Enyimba [emoji1184]
16. JS Kabylie [emoji1026]

[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]
𝐓𝐔𝐈𝐓𝐀𝐅𝐔𝐓𝐄 𝐘𝐀𝐍𝐆𝐀 𝐒𝐀𝐒𝐀
17. Al Hilal [emoji1232]
18. CS Sfaxien [emoji1249]
19. MC Alger [emoji1026]
20. Hassania Agadir [emoji1173]
21. 1° de Agosto [emoji1029]
22. Orlando Pirates [emoji1221]
23. Coton Sport [emoji1062]
24. CR Belouizdad [emoji1026]
25. Al Masry [emoji1093]
26. ES Setif [emoji1026]
27. USM Alger [emoji1026]
28. Zesco United [emoji1268]
29. Nkana [emoji1268]
30. Zanaco [emoji1268]
31. El Nasr [emoji1149]
32. FC Platinum [emoji1269]
33. Rangers [emoji1184]
34. Al Merreikh [emoji1232]
35. JS Saoura [emoji1026]
36. Lobi Stars [emoji1184]
37. ASEC Mimosas [emoji1081]
38. KCCA FC [emoji1254]
39. DJoliba [emoji1159]
40. Teungueth [emoji1211]

𝐍𝐈𝐌𝐄𝐂𝐇𝐎𝐊𝐀
41
42
43
44
45
46
47
48
49
50
𝐁𝐀𝐃𝐎 𝐒𝐈𝐖𝐀𝐎𝐍𝐈 𝐖𝐀𝐏𝐎 𝐊𝐖𝐄𝐋𝐈
51
52
53
54
55
56
57
58
59
60
𝐊𝐇𝐀𝐀𝐀𝐀𝐀 𝐖𝐀𝐊𝐈𝐇𝐈𝐒𝐓𝐎𝐑𝐈𝐀 𝐇𝐀𝐖𝐀𝐏𝐎
61
62
63
64
65
66
67
68
69
𝐌𝐀𝐖𝐄𝐄𝐄 𝐁𝐀𝐃𝐎 𝐓𝐔??[emoji849][emoji849]
70. Young Africans [emoji1241]
Aione kwenye file Shadeeya
 
Hakika usemalo Mkuu.

Lakini hivi vilabu yetu bana usije kuta kikosi anapangiwa na watu yaani kwamba kuna watu fulani ni lazima wacheze iwe isiwe.

Halafu hivi yule Moloko ulimwelewa? [emoji853]
Hamna la maana alichokuwa anafanya, kashindwa kuvaa viatu vya Kisinda. Kisinda angekuwepo, mabeki wa Rivers wasingepanda mbele kutengeneza mashumbulizi lakin yeye anaanguka anguka tu na kupenda kukaa na mpira halafu wapinzani wana iwin Mechi ya marudiano kocha afanye mabadiliko. Makambo na Yusuph Athuman wapewe nafasi. Makambo ana kitu na huyu dogo pamoja na dakika chache alizocheza kaonesha ni mchezaji anaweza kuisadia Yanga mbele tofauti na yacouba. Naomba Aucho na Djuma shabani ITC zao ziwe fresh ili mechi ya marudiano wawepo. Zawadi mauya akae nje kwanza shuguli za kimataifa aiwezi. Bangala pia naomba awepo maana kwenye wiki ya wananchi kacheza dakika chache lakini nimemuona ni bonge la mchezaji hakuna mcheza wa kibongo anayeweza kumweka benchi. Moloko awekwe benchi kwanza nafasi yake iangaliwe mwingine wa kucheza hata Dickson Ambundo au Kaseke. Mechi bado hii endapo kocha ataweza kupiga hesabu vizuri Yanga inauwezo wa kupindua meza kwasababu Yanga inayo wachezaji wazuri japo bado timu haijawa nzuri. Mechi ya marudiano inabidi tuwe vizuri kwenye ukuta, viungo wawe wazuri, kocha afanye uchaguzi mzuri wa playmaker na mwisho kabisa washambuliaji watumie nafasi chache zitakazopatikana. Nimeshangaa jana timu hata kufanya pressing hamna, kufanya marking hamna, wanawasindikiza tu wachezaji huku wanageuzwa geuzwa kama chapati.

Nafasi bado ipo endapo kocha atafanya selection nzuri ya wachezaji, mbinu iliyokuwa sahihi na pia kama Djuma na Aucho watakuwepo.
 
Kwa Nigeria sidhani aisee.

Hivi bro ikawaje yule Moloko kocha akamwacha kucheza 90mins au mie ndo sikumwelewa mana saa ingine anachokifanya alikuwa anakijua mwenyewe?
Kuweni wapole tu tengenezen timu na iheshimuni Simba sc
 
Kocha Nabi anazingua, Mi napendekeza team apewe Charles Boniface Mkwasa msaidizi awe Nsajigwa, Wanaijeria hawachomoki hapo.
 
Yaani kuna vitu vingi kiasi kwamba ukianza kulaumu utalaumu uongozi,benchi la ufundi na wachezaji pia Mana wote wana makosa japo Mimi lawama kuu napeleka kwa uongozi kisha benchi la ufundi hususana Mwalimu na kisha wachezaji!

UONGOZI
-ITC za wachezaji watatu zimeleta shida sana. Kwanza niliamini lengo la usajili Wa wale wachezaji ni kuongeza ukubwa Wa kikosi chetu na pia kuongeza weledi Wa timu yetu ktk michuano ya kimataifa mana wale wachezaji wote wana uzoefu mkubwa. Kitendo cha kukosekana kwa wale wachezaji watatu kulifanya kikosi chetu kisiwe na tofauti kubwa na kile cha msimu ulopita. Mimi niliamini hawa wachezaji wamessjiliwa hasa kwa ajili ya mashindano makubwa hasa kama haya ya CCL mwisho Wa siku viongozi wanatuambia tusiwe na wasiwasi hata kama hawatacheza CCL kwenye ligi watacheza[emoji16]

-Kambi ya Morocco ilikuwa na tija gani? Nani aliyeratibu ile kambi bila kujua ratiba za klabu? Au kulikuwa na masilahi ya watu binafsi?

-Kuhusu kukosekana kwa hizo ITC kwa wakati kuna mambo mengi ya kujiuliza kiasi kwamba kiujumla naweza hitimisha kwamba tuna viongozi wababaishaji sana n.k

KOCHA
Timu bado inacheza vibaya wakati keshakaa na timu kwa muda Wa miezi 4 hadi sasa. Upangaji Wa kikosi cha kwanza ni Wa mashaka,ufanyaji Wa mabadiliko ni Wa mashaka. Hapa Nina mashaka na uwezo Wa kocha(Hata alivyoletwa siku ya kwanza nilihoji vigezo gani vilitumika kumleta wakati profile zake za huko alikotoka zinaonyesha ni mbovu?). Hawezi jitetea kwamba timu ilicheza bila uelewano sababu wachezaji hawajakaa pamoja muda Wa kutosha wakati ktk kikosi alichokitumia wachezaji wageni walikuwa wawili tu n.k

WACHEZAJI
-kutotumia nafasi wanazozipata(mf. Yacouba 3, Feisal 1, Makambo 1 na Yusuf 1)
- Kutojitoa sana japo siyo wote mana wapo walionyesha kupigana sana na wengine kuchukulia poa tu n.k

MWISHO
Kule Nigeria tunapaswa kwenda mapema ili tukakabiliane na hujuma zao na tuzishinde au tuendane nazo. Baada ya hapo siku ya mchezo timu yetu ikajitume sana kuanzia mwanzo hadi mwisho,tukaanze na kuwashambulia kama hatuna cha kupoteza Mana tushapoteza ili tuwachanganye na Mungu akijaalia tupate goli la kuturudisha mchezoni. Wachezaji wasipaniki ili kutoka mchezoni na kuepuka kadi

Kikosi changu(kwa options zilizopo)
Diarra
Kibwana
Bryson kama hayupo basi huyo huyo Adeyum
Job
Bakari
Bangala
Mukoko
Moloko
Feisal
Makambo
Kaseke

Lolote laweza tokea japo wao kwa kiasi kibubwa sana wana nafasi nzuri kuliko sisi!
 
Djuma, Aucho na Mayele hawatocheza labda ikitokea tukavuka hizi raundi na kuingia makundi ndipo tunaweza tumia zile nafasi ambazo CAF hutoa kwa timu kuongeza wachezji
 
Mtaongea Sana lakn ukweli mchungu

Yanga haitakuja kuwa na muunganiko na wachezaji Kama mfumo wa wenyewe ndio huu was kusajir wachezaji lukuki halafu mwisho wa msimu wanaachwa

Timu ya ushindi n ile inayosajir wachezaj wachache kujaza nafas chache. Au kuleta wachezaj wenye kariba na wale waliopo ili kuleta challenge kwa waliopo wasibweteke

Umewah kuona klabu gani dunian inayosajir wachezaj had 8 kwa msimu huu n upuuzi ambao wanayanga wanashindwa kuelewa

Suala la maandalizi ya timu nalo n kizungumkuti tupu yaan pre season kulikuwa na haja gani ya kuweka kambi Morocco kwa siku 4 tu eti kisa umelipiwa bure hapo ndipo wanayanga ilibid washtuke kuwa muwekezaji hana Nia nzuri na klabu hii

Usajir wa wachezaji Kama Aucho na Djuma umegubikwa kizungumkuti tupu mchezaj wa kwanza kusajiliwa klabuni ndye anakosa ITC na wa mwisho kusajikiwa anapata ITC hapo ilibid watu wahoji wapate majibu ya kina

Nguvu kubwa kuwekezwa kwenye propaganda kuliko.uwanjani mfano uzinduz wa mauzo ya jez kila mtu aliona nguvu iliyotumika unaweza ukadhan kuwa yanga imekamilila kumbe hakuna kitu

Ujio wa HAJJ nao umetumia nguvu kubwa Sana na kuwafanya wengne wajione wanyonge haji hajawah kumaliza Kaz salama kila sehemu anayopita toka NCCR CCM had SIMBA na hapa tutegemee hayo hayo

Mwekezaji amewekeza nguvu kwenye biashara zake kushinda uwanjani yanga n Kama daraja la mafanikio Kama ujuavyo Simba na yanga n Kama dini kila mtu ataziabudu na hata viongoz wetu serikalin n waumin wa SIASA za Simba na yanga hvyo muwekezaji atanufaika tu huko serikalin Kama kupitisha Mambo yake kwa mgongo wa yanga

Mwisho washabiki wa yanga n muda wa kukaa chini na kutafakar juu ya mwenendo wa timu hii vinginevyo mtakosa furaha milele kwa ajili ya wachumia tumbo wachache

Kuna tetesi tamasha la yanga day mapato yote alikusanya GSM na timu hai japata hata senti mwenyekiti yupo Kama rubber stamp hana nguvu Tena



Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Vema ndugu!
 
Kwa Nigeria sidhani aisee.

Hivi bro ikawaje yule Moloko kocha akamwacha kucheza 90mins au mie ndo sikumwelewa mana saa ingine anachokifanya alikuwa anakijua mwenyewe?
[emoji23][emoji23][emoji23] acha nipite kimya kimya tu bado tunaomboleza msiba wetu.
 
Back
Top Bottom