Mr Pixel3a
JF-Expert Member
- Sep 15, 2021
- 5,710
- 8,579
Utopolo wana kikosi cha kubeba kombe la mapinduzi tuu ,mengine mtani anabeba tena
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wajiandae kwa kweli.Kwa nilivyoona Jana jmosi tutajipigia
Tarehe 25/9/2021.Gori lilelile alilolibusu Manara palepale alipopigia TP Mazembe.Nyie Uto wa humu mshakula mchana huu,au bado mmelala chini ya miti mnaskilizia?
Mazembe ni kubwa kuliko timu yoyote bongo,wametumia kosa moja tu la Manula wakapata goli,nyinyi Uto mmecheza na madogo wa Nigeria wamefanya makosa 50 hamjapata hata goli moja.Tarehe 25/9/2021.Gori lilelile alilolibusu Manara palepale alipopigia TP Mazembe.
Tusubiri jumamosi baada ya mechi Najua wabongo hamtakosa visababu tena vya hovyo hovyo mkipigwa hamkosi kusema mmerogwa au mechi imeuzwa n.k Ukweli ni kwamba ukichambua uwezo wa mchezaji mmoja mmoja kwa kila timu majibu unayapata na ukiiangalia Simba ya msimu uliopita na ya Sasa Kuna tofauti kubwa hata Yanga wamefanya mabadiliko kwenye maeneo yaliyokuwa na Mapungufu Huwezi kumfananisha Sarpong na Makambo au Mayele hata kidogo,safu ya ushambuliaji ya Yanga ya msimu huu ni bora kuliko misimu minne iliyopita na ukiiangalia viungo wakabaji pale Kuna ingizo la Aucho vilevile Kuna Bangala Litombo anaweza kucheza kama beki wa kati ama pembeni au akacheza kama kiungo mkabaji au mshambuliaji kwa upande mwingine Kuna beki mapafu ya farasi anapanda na kushuka uwezo wake ni mkubwa hapa bongo hakuna kama yeye si mwingine ni Djuma Shabani.Kwa maingizo ya wachezaji hao tegemea Yanga itakuwa Moto wa kuotea mbali Jumamosi,mechi hiyo hakuna Nchimbi wala Mauya .Nenda Simba Sasa Wawa,Onyango,Kapombe,Tshabalala,Lwanga,Mugalu,Boko,Kagere n.k wachezaji hawa wa msimu uliopita uwezo wao unafaamika sana walikuwa wanamtegemea sana Chama na Luis,Leo hawapo Tafakari itakuwaje ingawaje Kuna maingizo mapya,swali je hayo maingizo mapya yako vizuri kiuwezo kama Chama na Luis? Majibu tutayapata jumamosiMazembe ni kubwa kuliko timu yoyote bongo,wametumia kosa moja tu la Manula wakapata goli,nyinyi Uto mmecheza na madogo wa Nigeria wamefanya makosa 50 hamjapata hata goli moja.
JK aliwaambia Maneno Murua sana ktk mkutano wao.Timu bovu sana hili na ni aibu kwa ligi yetu kwa timu kama hili kuwa ndani ya top two.
Jumamosi,Tarehe 25/9/2021,siyo mbali tutajua timu bovu ni lipi kati ya Yanga na Simba.Zimebaki siku mbili tu hakuna vusingizio kwa kubadili muda na kukimbia uwanjani .Bampa to Bampa lazima mtu aaibike.JK aliwaambia Maneno Murua sana ktk mkutano wao.
Safu ya ushambuliaji ya Yanga pamoja na kiungo wameshindwa kupambana kupata hata goli moja kwenye michuano ya cafcl,labda unahisi tatizo linaweza kuwa nini?Tusubiri jumamosi baada ya mechi Najua wabongo hamtakosa visababu tena vya hovyo hovyo mkipigwa hamkosi kusema mmerogwa au mechi imeuzwa n.k Ukweli ni kwamba ukichambua uwezo wa mchezaji mmoja mmoja kwa kila timu majibu unayapata na ukiiangalia Simba ya msimu uliopita na ya Sasa Kuna tofauti kubwa hata Yanga wamefanya mabadiliko kwenye maeneo yaliyokuwa na Mapungufu Huwezi kumfananisha Sarpong na Makambo au Mayele hata kidogo,safu ya ushambuliaji ya Yanga ya msimu huu ni bora kuliko misimu minne iliyopita na ukiiangalia viungo wakabaji pale Kuna ingizo la Aucho vilevile Kuna Bangala Litombo anaweza kucheza kama beki wa kati ama pembeni au akacheza kama kiungo mkabaji au mshambuliaji kwa upande mwingine Kuna beki mapafu ya farasi anapanda na kushuka uwezo wake ni mkubwa hapa bongo hakuna kama yeye si mwingine ni Djuma Shabani.Kwa maingizo ya wachezaji hao tegemea Yanga itakuwa Moto wa kuotea mbali Jumamosi,mechi hiyo hakuna Nchimbi wala Mauya .Nenda Simba Sasa Wawa,Onyango,Kapombe,Tshabalala,Lwanga,Mugalu,Boko,Kagere n.k wachezaji hawa wa msimu uliopita uwezo wao unafaamika sana walikuwa wanamtegemea sana Chama na Luis,Leo hawapo Tafakari itakuwaje ingawaje Kuna maingizo mapya,swali je hayo maingizo mapya yako vizuri kiuwezo kama Chama na Luis? Majibu tutayapata jumamosi
Sent from my TECNO LC6 using JamiiForums mobile app
Tutajua jumamosi tar 25/9/2021.Mwisho wa umbeya na MajigamboSafu ya ushambuliaji ya Yanga pamoja na kiungo wameshindwa kupambana kupata hata goli moja kwenye michuano ya cafcl,labda unahisi tatizo linaweza kuwa nini?
Wakuu kaze sina imani nae, naona bora tumchukue Minziro mwanayanga mwenzetu awe msaidizi.
Ana cv nzuri sana, kashazipandisha team kadhaa ligi kuu.
Uhitaji wa Kaze ulizingatia pia uhitaji wa Language Bareer iliyopo kati ya Kocha Nabi na Wachezaji. Kumbuka nabi sio mzungumzaji mzuri wa Kiswahili wala Kiingereza, bali ni mtumiaji mkubwa wa Kifaransa & Kiarabu.Wakuu kaze sina imani nae, naona bora tumchukue Minziro mwanayanga mwenzetu awe msaidizi.
Ana cv nzuri sana, kashazipandisha team kadhaa ligi kuu.
😂 😂 😂 😂Kweni yanga inataka kupanda daraja?
😂 😂 😂Tarehe 25/9/2021.Gori lilelile alilolibusu Manara palepale alipopigia TP Mazembe.