Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

Kama umeridhika na Yanga uliyoishuhudia mpaka sasa hongera!, lakini sio kwa Kocha Nasreddine Nabi
Akizungumza baada ya mchezo dhidi ya Azam Fc ambao Yanga iliweza kuibuka na ushindi wa mabao 2-0 na kuendelea kujichimbia kileleni mwa msimamo wa ligi, Nabi alisema mpaka sasa kikosi chake kimekamilika kwa kati ya asilimia 45% na 50%, yaani ni nusu ya vile anavyotaka kuiona timu inacheza
Mwanzoni mwa msimu Nabi alisema anahitaji siku 90 kutengeneza kikosi imara ya Yanga, amesema umebaki mwezi mmoja kufikia malengo
"Naipongeza Yanga Sc na (GSM) kwa kufanya usajili mzuri, pia naipongeza timu ya wataalamu wa viungo 'Physio', wamenisaidia kuiweka timu fiti sana na leo watu wamejionea wenyewe"
"Yanga imeimarika kwa asilimia 45% hadi 50% hapo unapoiona, ila baada ya mwezi mmoja itakuwa 100%," alisema Nabi
Aisee si wapewe tu kombe tufanye mambo mengine
 
Mlale unono
Screenshot_20211102-201524.jpg
 
Hakuna timu imewahi kuupiga mwingi kama Yanga ya mwaka huu, hata Simba wamekubali, kuna shabiki mmoja wa simba anasema yani kwa mpira huu na bado kocha wenu anasema ni 45%? Daahhh.
Simba kwani unawaona tena na maneno mengi, lile neno wsliozoea kusema, sijui chura mara sijui nini umeyasikia tena. Kwa kifupi Simba wako kimya kabisa wamepoteana.
 
Simba kwani unawaona tena na maneno mengi, lile neno wsliozoea kusema, sijui chura mara sijui nini umeyasikia tena. Kwa kifupi Simba wako kimya kabisa wamepoteana.
Watasema nini tena wakati kuona ni kuamini [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Hakuna timu pale takataka tu
Siku hizi siwaoni tena kuvamia uzi wa YANGA, ilikuwa baada ya mechi yao, post zao kwenye uzi wa YANGA, Jana baada ya ile mechi wameshinda kwa taabu sana lala salama, nimewaonea huruma. John Boko alikuwa hoi ile mbaya. Nilikuja kucheki kama wameweka post yao kama kawaida yao nikaona kimya, nikajua hakuna kitu pale simba.
 
Siku hizi siwaoni tena kuvamia uzi wa YANGA, ilikuwa baada ya mechi yao, post zao kwenye uzi wa YANGA, Jana baada ya ile mechi wameshinda kwa taabu sana lala salama, nimewaonea huruma. John Boko alikuwa hoi ile mbaya. Nilikuja kucheki kama wameweka post yao kama kawaida yao nikaona kimya, nikajua hakuna kitu pale simba.
Hahaha
 
Hahahaa!! Hawa mikia tunaishi nao tu hivyo hivyo.

Hakika na this season ndo maana halisi ya "Return of Champions" inapochukua nafasi yake.
Dada habari yako, habari za siku nyingi?
Naomba unitafute PM nina shida nawe!
 
Kama umeridhika na Yanga uliyoishuhudia mpaka sasa hongera!, lakini sio kwa Kocha Nasreddine Nabi
Akizungumza baada ya mchezo dhidi ya Azam Fc ambao Yanga iliweza kuibuka na ushindi wa mabao 2-0 na kuendelea kujichimbia kileleni mwa msimamo wa ligi, Nabi alisema mpaka sasa kikosi chake kimekamilika kwa kati ya asilimia 45% na 50%, yaani ni nusu ya vile anavyotaka kuiona timu inacheza
Mwanzoni mwa msimu Nabi alisema anahitaji siku 90 kutengeneza kikosi imara ya Yanga, amesema umebaki mwezi mmoja kufikia malengo
"Naipongeza Yanga Sc na (GSM) kwa kufanya usajili mzuri, pia naipongeza timu ya wataalamu wa viungo 'Physio', wamenisaidia kuiweka timu fiti sana na leo watu wamejionea wenyewe"
"Yanga imeimarika kwa asilimia 45% hadi 50% hapo unapoiona, ila baada ya mwezi mmoja itakuwa 100%," alisema Nabi
Kama ndio hivyo Mi mwenyewe tayari Yanga naiogopa aisee
 
Back
Top Bottom