Shadeeya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 49,759
- 118,798
Kwenye kuimarisha kikosi ndio jambo sahihi ambalo hata na mie nakubali Mtani.Punguzen bahasha za kaki , utakuja niambia hapa
Tuombe uzima tu, imarisha kikos , nenda vitan bila kona kona , faster tu unajikuta hapa tulipo
Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
Japo sasa punguza kauli za kuudhi na wewee sababu inamana zile game zaidi ya tano mlizokuwa mnabebwa bebwa kwa kupewa penalties na wapinzani kupewa red card kwenye mechi za Ligi kuu mlikuwa mnatowa bahasha? 🙁🙁