Scars
JF-Expert Member
- Apr 8, 2017
- 48,055
- 116,512
Mkija kufarijiana huku msisahau kutushirikishana sisiHii ni mpira usidhani kila siku utashinda
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkija kufarijiana huku msisahau kutushirikishana sisiHii ni mpira usidhani kila siku utashinda
Kwa akili za nyaunyau wanafikri watachukua kombe!Tukutane mwisho wa msimu mkuu ndyo utajua namaanisha nn
Jukwaa la nyau kule lina vi-thread 351 tu nyau zilihamia huku kwa wajanja!Mkija kufarijiana huku msisahau kutushirikishana sisi
Ukiona hivyo ujue hakuna mwenye time ya kujiongelesha au kujilalamisha kama nyieJukwaa la nyau kule lina vi-thread 351 tu nyau zilihamia huku kwa wajanja!
Haya tuambie team ambayo haina hizo sare tuipe ubingwaTimu ya ubingwa haitoi sare 3 mfululizo labda ipigwe 1 ishinde mbili sio sare 3 ambazo n sawa na kupoteza point 6
Gape ni 11 points on top wewe ndio unaishi kwa matumaini afe jirani urithiMkija kufarijiana huku msisahau kutushirikishana sisi
Nimezipokea Mtani. 🤣🤣🤣[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji3] mtani nakusalimia.
Hahahaaaa. Sio uongo eti.Mmeanza kupagawa mapema hivi mlongo? Hebu kuweni wapoleee mambo mazuri yanakuja. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hahahaaa. Aisee!!Mashabiki wa utopolo mkuje hapa, msijifanye hamuuoni huu uzi.
[emoji23][emoji3][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ila mna mioyo ya kipekee aisee. Yaani mko nyuma points nane lakini mnajiona kama ndo mnaongoza ligi vile. Lol.Mkija kufarijiana huku msisahau kutushirikishana sisi
Pole sana Mtani. Niseme tu haya ni matumizi mabaya ya akili. 😀😀Ukiona hivyo ujue hakuna mwenye time ya kujiongelesha au kujilalamisha kama nyie
Sisi shughuli yetu tunaimaliza kwenye uzi wa updates na sio kama nyie mnakuja kujificha huku kutoa manung'uniko yenu ambayo hamtaki tuyajue
Na kwa mawazo yao wanahisi kama tumeshapoteza game zote zilizobaki.Gape ni 11 points on top wewe ndio unaishi kwa matumaini afe jirani urithi
Wewe nyaunyau hebu angalia sare mfululizo alipata huyo unayesema atachukua ubingwa! Kwa hiyo hizo sare ziko kwa Yanga tu? Watu mnachekesha mnajua kuropoka!Timu ya ubingwa haitoi sare 3 mfululizo labda ipigwe 1 ishinde mbili sio sare 3 ambazo n sawa na kupoteza point 6
Shadeeya usiwapunguzie gepu, waambie kabisa wako nyuma point 11! Hicho kiporo hawajacheza na wajue Kagera siyo wa mchezo mchezo anaweza kuwawasha!Ila mna mioyo ya kipekee aisee. Yaani mko nyuma points nane lakini mnajiona kama ndo mnaongoza ligi vile. Lol.