Shadeeya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 49,759
- 118,798
😂😂😂Pale Chini Mwishoni Kwenye Iyo paragraph Kuna Statement inasema "Ki Stephane Aziz Quitte Le Club" Hujaipata Hata Iyo? [emoji1]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂😂Pale Chini Mwishoni Kwenye Iyo paragraph Kuna Statement inasema "Ki Stephane Aziz Quitte Le Club" Hujaipata Hata Iyo? [emoji1]
Hakika. Ila tusubiri tuone.Tutaingia kwenye majuto makubwa sana. Uongozi umetukosea mnoo
Hahahaa.Bora wewe Nakapanya, mimi wa Nyalikungu ndio naona giza kabisa[emoji23][emoji23]
Mi nimekuwa disappointed sana kwakweliNakazia.
Na si ajabu akatuletea sana maringo huko mbeleni kama kawaida yake.
Wametukosea sana kwakweliKweli kabisa nadhani ni vile wanaona hatuna nafasi katika wanachokifanya sio bure aisee.
Hii haina tofauti na ile ya Manara waliona tumetulia basi wanafanya wanavyojisikia.
Muda utasema kwakweliHakika. Ila tusubiri tuone.
Duuuh ila watanzania bhana ni matatizo matupu!!Ni kweli anajua boli ila kwa alichotufanyia sikuona haja ya kumrudisha.
Sema nini GSM anataka tuwe bendera fuata upepo na hilo hatuezi likataa sababu wao wameshika makali.
Hahahaaa. LolYote Yataongelewa Kwasasa ila Huyu Morrison Atacheza Mpira Mkubwa Sana Ndani Ya Yanga Nyie Mtaona Wenyewe.
Atauwasha Moto Huyu Jamaa Utaona Mkuu.Hahahaaa. Lol
Kwakweli binafsi mi nimeufurahia usajili huu. Nilikuwa natamani muda mrefu hili litokee.Huyu mpumbavu mm nmemkataa kabisa sema Tz bado siasa nyingi na ulimbukeni, hakukuwa na sababu yoyote ya Yanga kusaini takataka kama Morison, mm najua hapa kocha kalazimishwa na kina Manara kuuchukua huo mzoga. Mchezaji hata awe mzuri kiasi gani lkn nidhamu kwanza.
Mi naamini kwa yaliyotokea,uongozi wetu kuna sehemu walikosea. Na hata kwenda mahakama ya usuluhishi walienda ili kutuliza jazba za mashabiki. Walijua wazi wamechemka.Tusubiri Tu Mkuu....Tutapata Majibu Zaidi Huko Mbele, Mimi Naamini Bodi Nzima Ya Timu Washazungumza Nae Kuhusu Masuala Yake Ya Kinidhamu Kabla Hajasaini Ule Mkataba Na Huenda Akaja Kuwa Msaada Mkubwa Kwenye Timu, Kwa Ule Uchezaji Wa Jesus Moloko Wa Siku Hizi Ni Heri Tuwe Na Morrison Kwenye Nafasi Yake, Tutapate Matokeo Kwanza Ayo Mambo Mengine Baadae. [emoji1]
Haya bana itakuwa kheri.Atauwasha Moto Huyu Jamaa Utaona Mkuu.
Na CAS Sio Wapuuzi Mpaka Wampe Morrison Ushindi Wa ile Kesi.Mi naamini kwa yaliyotokea,uongozi wetu kuna sehemu walikosea. Na hata kwenda mahakama ya usuluhishi walienda ili kutuliza jazba za mashabiki. Walijua wazi wamechemka.
[emoji445]Huyo Bangala Yannick Si Ndo Litombo....Ndo Huyo Huyo[emoji445] [emoji91] [emoji23]