Shadeeya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 49,759
- 118,798
Saa mbili sio mbali Mtani. Tusubiri tuone.mtani hutoboi leo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Saa mbili sio mbali Mtani. Tusubiri tuone.mtani hutoboi leo
mtani nipo hapa hadi nihakikishe tumezika, hatusafirishi marehemu this time, marehemu alikuwa na mdomo sana!Saa mbili sio mbali Mtani. Tusubiri tuone.
Hahahaaaa. Hukawiagi kupotezea quote zangu Mtani.mtani nipo hapa hadi nihakikishe tumezika, hatusafirishi marehemu this time, marehemu alikuwa na mdomo sana!
mtani chai nikuletee MIHOGO ya kuchemsha au kukaangaa mtani uniungishe biashara yangu mtani[emoji23][emoji23][emoji23]Hahahaaaa. Hukawiagi kupotezea quote zangu Mtani.
Uwepo uwepo. [emoji126]
#DaimaMbeleNyumaMwiko.
Hahahaaa! Umefanya hadi nimecheka. Lol.mtani chai nikuletee MIHOGO ya kuchemsha au kukaangaa mtani uniungishe biashara yangu mtani[emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji1431][emoji1431][emoji1431]MUNGU IBARIKI SIMBA
MUNGU IBARIKI CLUB AFRICAIN[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji1249][emoji1249][emoji1249][emoji517][emoji517][emoji517][emoji517][emoji517][emoji897][emoji897][emoji897][emoji897]
hatutaki washabiki wanafiki kama wewe....Piga kelele kwa yanga akeeee [emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji851][emoji851][emoji851][emoji851][emoji851][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089]
Hakika Mkuu sababu tumejua kuupiga mwingi mnoo.Huu mpira ilioupiga Yanga leo ni onyo kwa vilabu vya kibongo bongo.