Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Moja kati ya usajili bora kabisa kuwahi kutokea Tanzania.Lomalisa kama huko kambini waga wanapakuliwa msosi leo ajipakulie yeye afu awe wa kwanza kupewa sahani
Lomalisa kama huko kambini waga wanapakuliwa msosi leo ajipakulie yeye afu awe wa kwanza kupewa sahani
Jamaa zile touch zake tu zinanikumbusha mbali kipindi hicho shule ya Msingi ButimbaMoja kati ya usajili bora kabisa kuwahi kutokea Tanzania.
UtulivuKatufunga Mdomo Wengi Kweli Mimi Mwenyew Nilimkataa Kipindi Kile….ila Saiv Asipokuwepo Kwenye Lineup Nasikitika [emoji23]
Kwenye club bingwa?Huko huko porini ulipo kaa ukijua kwamba Yanga anaongoza ligi kwa tofauti ya pointi 8 inayokamilishwa leo.
Niliwahi kukuambia mkuu kama unakumbuka kwamba tumpe muda, nadhani umeona.Katufunga Mdomo Wengi Kweli Mimi Mwenyew Nilimkataa Kipindi Kile….ila Saiv Asipokuwepo Kwenye Lineup Nasikitika [emoji23]
Endelea kupiga kelele za klabu bingwa huku Yanga inachukua back to back kumi mfululizo.Kwenye club bingwa?
Niliwahi kukuambia mkuu kama unakumbuka kwamba tumpe muda, nadhani umeona.
Wanasema usimpe Nabi nafasi ya kufikiria. Nimependa reaction ya wachezaji hasa baada ya kufungwa tumecheza vizuri tukashambulia ila ufanisi ukawa unakosekana hapo sasa ndio Nabi akafanya kazi yake.Tumeleta dharau za kijinga!
Jamaa anazidi kuwa mzuri kadri siku zinavyosonga.Lomalisa kama huko kambini waga wanapakuliwa msosi leo ajipakulie yeye afu awe wa kwanza kupewa sahani
Rekodi kama hizi huwa zinapatikana Yanga pekee. 😅😅[emoji172][emoji169]View attachment 2547980
Nabi ajangewe sanamu pale jangwani aisee.Wanasema usimpe Nabi nafasi ya kufikiria. Nimependa reaction ya wachezaji hasa baada ya kufungwa tumecheza vizuri tukashambulia ila ufanisi ukawa unakosekana hapo sasa ndio Nabi akafanya kazi yake.
Well done Yanga, 11 points clear 3 za kwao April
Rekodi kama hizi huwa zinapatikana Yanga pekee. [emoji28][emoji28]
Hakika.Na Hii Ndio Maana Ya The Club Above All In Tz [emoji28][emoji28][emoji172][emoji169]
Huu sasa ndio utakua wakati sahihi mtani kufa kwenye ligi.Nabi ajangewe sanamu pale jangwani aisee.
Na hapa sioni wapi atatokea mtani hiyo Aprili ikifika.