Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahaa! Kabisa Yaani.Naona
Naona meno thelathini na nje yote mbili
EnjoyHahahaa! Kabisa Yaani.
Na haya ndo matokeo kila mtu anataka Mkuu. 😂
Ni Uwanja wa Taifa kumenyana na Timu ya South Afrika kombe la Shirikisho.Kituo kinachofuata wapi ?
Matuai ya nini sasa kwa wakili????Ukiwa na wanasheria wanapenda kutinduliwa, ni hasara kwako. Fatima, mwongoze Faisal kumalizana na Yanga kwa amani, la sivyo itakula kwake. Na tutafungua madai, anakula mshahara pasipo kuwa kaziniView attachment 2610999
Mmekomaa na Feisal mkasahau Azam FC wana wahitajiMatuai ya nini sasa kwa wakili????
Mkiambiwa hamna akili mnalalamika ila huo ndio uhalisia
HUNA AKILI.
Hii timu ina wafuasi wengi ambao hawana akili timamu....Mmekomaa na Feisal mkasahau Azam FC wana wahitaji
Wenye akili ni wawili na mmenyooshwa wangekua sita?Hii timu ina wafuasi wengi ambao hawana akili timamu....
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Unaota?[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Wenye akili ni wawili na mmenyooshwa wangekua sita?
Kwahiyo 1-1 au sioNJITI atoka hadharani na kuthibitisha kuwa utopolo wamegongwa faini na CAF kutokana na ulozi[emoji1787]
Hapana nyie mmewapulizia ushuzi ,kuwaibia pesa na kuvunja viooKwahiyo 1-1 au sioView attachment 2614578
Uanaume wako una mashaka au upo mashakaniNJITI atoka hadharani na kuthibitisha kuwa utopolo wamegongwa faini na CAF kutokana na ulozi[emoji1787]
Yani we jamaa utakufa mapema sn mana umechagua kujinyima furaha kuanzia ulaya mpk bongo, usipokufa mapema lazima uwe mchawi.Hapana nyie mmewapulizia ushuzi ,kuwaibia pesa na kuvunja vioo
Vibakawalozi fc mnaongoza