PrN-kazi
JF-Expert Member
- Feb 5, 2011
- 2,900
- 444
kwa uongozi huo na kamati iliyokua inahusika na mchakato ulitegemea maamuzi yawe tofauti???, Yondani na Twite pamoja na kwamba viongozi wa Yanga walifanya uhuni lakini TFF imewaidhinisha kuwa wachezaji halali wa Yanga.Hivi suala la usajili wa Twite na Yondani limeishaje??
Source: SpotBar-Clouds TV

