Hivi vichezaji vya kitanzania vingi ni vifupi tusivipe nafasi sn, huyo kibabage sijui sikupenda kabisa asajiliwe Yanga, hii ni timu kubwa kuliko zote hapa Tanzania na Afrika mashariki na kati kwa sasa, tuangalie aina ya watu tunaosajili sio uchafu wa hovyo, ikibidi kama itatulazimu kusajili mchezaji wa kitanzania kama yupo Simba au Azam twende tukawachukue huko huko mana hakuna mchezaji asiyependa kucheza Yanga kwa sasa, sio kuchukua vichezaji ili mradi tuu, tusisahau standard yetu tumei set wapi kimataifa, hawa kina kibabage watatuangusha hawa.