tweenty4seven
JF-Expert Member
- Sep 21, 2013
- 15,863
- 19,626
Hydar si ndio yule dogo mwenye hydary plaza Na Mali nyingi sana alizoruthishwa lk anaziendeleza vizuri? Naona kama wanafanana wasije kuwa ndugu? Kama Ndugu kweli hao ni Mabilionaire Wacha Lemutuz a Lick A.s.s zao....
Hivi alikuwa kwenye mwendo kasi na anatumia vilevi? Kwa umri wake ulivyo mdogo lazima alikuwa ana kunywa....! Hivi lemutuz huwa anatumia kilevi?
Umeenda msibani? Marehemu kumbe ni shemeji wa mheshimiwaHuyo diva anavyomshobokea hydary mmh na atakuwa kamgonga tu, kifo cha huyo dogo jana naonaa kimetetemesha instagram, jana marehemu alikuwa maarufu kuliko kipindi cha uhai wake
Huyo diva anavyomshobokea hydary mmh na atakuwa kamgonga tu, kifo cha huyo dogo jana naonaa kimetetemesha instagram, jana marehemu alikuwa maarufu kuliko kipindi cha uhai wake
Hivi alikuwa kwenye mwendo kasi na anatumia vilevi? Kwa umri wake ulivyo mdogo lazima alikuwa ana kunywa....! Hivi lemutuz huwa anatumia kilevi?
Babu yako mabillionaire wenzake wanaondoka soo sad! Hivi babu yako anatumia kilevi chochote?
Huyu alikuwa Kama kina musofe,wasanii kibao wamepost rip Jimmy.
Hamna laana wala nini waafrica mmezidi kumsaidia yatima na mjane ni choice sio kwamba mtu ukiwa na pesa usiwafanye yako kisa kuna mayatima na wajane, mbona wazungu hawako hvyo? Ndio yale ukiwa tajiri mzigo wa ukoo mzima uubebe ww WTF? Thats why wa africa awaendelei.....
***YaleYale ya Mayweather kusemwa kwa nini asaidii africa wakati what africa has done for him #SHIT , jukumu la kusaidia yatima, wajane na wazee ni la serikali mtu binafsi kuamua mwenyewe sio Lazima.....
Si hydary huyo. .marehemu mwanae hydary kavira wa mwananyamala hao na marehemu mitkasi yao kuwasafisha makorongwee wa kilami na madini feki. ..hydary kasimama kipakee ila Jimmy haikuwa kivile kipesa kawaida sana,instagramically alikuwa tajiri wa picha mnato alizokuwa anaweka. .. sema alikuwa mtu smart na pesa ya kulipia bills. .
Le Mutuz hata kama ni mlevi noah yake haiwezi kumuua,spidi yenyewe 30 kama power tiller tu.
Yaan wema kila mtu ni shemeji yake aiseeee pipi ishaonjwaa balaaaa
Hamna laana wala nini waafrica mmezidi kumsaidia yatima na mjane ni choice sio kwamba mtu ukiwa na pesa usiwafanye yako kisa kuna mayatima na wajane, mbona wazungu hawako hvyo? Ndio yale ukiwa tajiri mzigo wa ukoo mzima uubebe ww WTF? Thats why wa africa awaendelei.....
***YaleYale ya Mayweather kusemwa kwa nini asaidii africa wakati what africa has done for him #SHIT , jukumu la kusaidia yatima, wajane na wazee ni la serikali mtu binafsi kuamua mwenyewe sio Lazima.....
Haujitambui wewe kaa kimya usije ukajitafutia laana bure..
Kwani zinauzwaje aisee?
Nijuze kama wafahamu hata kidogo
Juzi nilimuona escape one alikuwa na akina ray wanakunywa vzur, huyo dogo nasikia alikuwa kalewa that's y alipat ajal