Young Bilionea wa Madini wa Arusha Afariki Dunia

Young Bilionea wa Madini wa Arusha Afariki Dunia

Hydar si ndio yule dogo mwenye hydary plaza Na Mali nyingi sana alizoruthishwa lk anaziendeleza vizuri? Naona kama wanafanana wasije kuwa ndugu? Kama Ndugu kweli hao ni Mabilionaire Wacha Lemutuz a Lick A.s.s zao....

Mkuu hiyo haidary plaza ni ya muhindi miaka 100
 
Hivi alikuwa kwenye mwendo kasi na anatumia vilevi? Kwa umri wake ulivyo mdogo lazima alikuwa ana kunywa....! Hivi lemutuz huwa anatumia kilevi?

Lemutuz anasema hatumii kilevi chochote kile kwenye the mboni show alipohojiwa.
 
Huyo diva anavyomshobokea hydary mmh na atakuwa kamgonga tu, kifo cha huyo dogo jana naonaa kimetetemesha instagram, jana marehemu alikuwa maarufu kuliko kipindi cha uhai wake
Umeenda msibani? Marehemu kumbe ni shemeji wa mheshimiwa
r.i.p jimmy
 
Huyo diva anavyomshobokea hydary mmh na atakuwa kamgonga tu, kifo cha huyo dogo jana naonaa kimetetemesha instagram, jana marehemu alikuwa maarufu kuliko kipindi cha uhai wake


hhhhhaaaa sheeeedah hiyooo aiseee
 
Babu yako mabillionaire wenzake wanaondoka soo sad! Hivi babu yako anatumia kilevi chochote?

Atakuja kujibu zikifika page 10!!!ha ha Le mutuz ni balaa,Btw hivi unajua kwamba ni first born wa Malecela?ndio utajua kuwa Yule jamaa hafanani na umri wake!Huwa anadai anywi pombe
 
Hamna laana wala nini waafrica mmezidi kumsaidia yatima na mjane ni choice sio kwamba mtu ukiwa na pesa usiwafanye yako kisa kuna mayatima na wajane, mbona wazungu hawako hvyo? Ndio yale ukiwa tajiri mzigo wa ukoo mzima uubebe ww WTF? Thats why wa africa awaendelei.....

***YaleYale ya Mayweather kusemwa kwa nini asaidii africa wakati what africa has done for him #SHIT , jukumu la kusaidia yatima, wajane na wazee ni la serikali mtu binafsi kuamua mwenyewe sio Lazima.....

Miafrika tunaamini kusaidiwa ni lazima, ndio maana ndugu lawana hawaishi kulalamika mitaani hata uwasaidie vipi. waende hukooooo!!!
 
Si hydary huyo. .marehemu mwanae hydary kavira wa mwananyamala hao na marehemu mitkasi yao kuwasafisha makorongwee wa kilami na madini feki. ..hydary kasimama kipakee ila Jimmy haikuwa kivile kipesa kawaida sana,instagramically alikuwa tajiri wa picha mnato alizokuwa anaweka. .. sema alikuwa mtu smart na pesa ya kulipia bills. .

Mkuu hpo umenena tajiri wa picha mnato.....mimi najua cku zote hiyo haidary plaza huwa ya muhindi mr fazal leo nasikia yao au wamenunua
 
Yaan wema kila mtu ni shemeji yake aiseeee pipi ishaonjwaa balaaaa

Hatareee mana mpapa ukigongwa sana unapoteza sura yke unakua haueleweki.......mana leo anagonga m2 mb...ooo inaangalia kushoto,kesho anagonga inayoangalia kulia....kesho kutwa inayoangalia juu kma antena,lazma huo mpapa uwe kma karai la zege
 
Kwa caption hii ya hydary alipost IG last year niljua kua jimmy yuko chini ya hydary yani kama kamconnect na deals zake so dogo anamake money thru it au ni bizness partners flani hv..
 

Attachments

  • 1434790681970.jpg
    1434790681970.jpg
    79 KB · Views: 1,116
Hamna laana wala nini waafrica mmezidi kumsaidia yatima na mjane ni choice sio kwamba mtu ukiwa na pesa usiwafanye yako kisa kuna mayatima na wajane, mbona wazungu hawako hvyo? Ndio yale ukiwa tajiri mzigo wa ukoo mzima uubebe ww WTF? Thats why wa africa awaendelei.....

***YaleYale ya Mayweather kusemwa kwa nini asaidii africa wakati what africa has done for him #SHIT , jukumu la kusaidia yatima, wajane na wazee ni la serikali mtu binafsi kuamua mwenyewe sio Lazima.....

Umerudi Bongo lini?

Tutafutane mamakibunju
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom