Yoweri Museveni: Sudan haitawaliki sababu Al Bashir alichagua Sudan yenye mrengo wa kidini kuliko Sudan ya wote

Yoweri Museveni: Sudan haitawaliki sababu Al Bashir alichagua Sudan yenye mrengo wa kidini kuliko Sudan ya wote

ni nchi gani ambayo sultani amepinduliwa halafu ukasikia amerudi kutawala? Stop dreaming please! Sultani mwenyewe ana umri wa miaka 94, does he care about recolonizing Zanzibar? I doubt.

Lakini nitakupa mfano wa nchi ya Tanzania ambayo ilimrudisha mtawala aliyepinduliwa bila ya hata raia wake kushauriwa kwa sababu tu alikuwa ...... vipi vile?
sultan kurudi si yule kikongwe anayeishi ukimbizini baada ya kupinduliwa. Halafu huyo unayesema alipinduliwa kisha akarudishwa hayo yalikuwa ni mapinduzi yaliyoshindwa. Usultan kurudi zanzibar ni rahisi hata kwa sura nyingine. Angalia kile chama cha kipemba mienendo yake
 
Af
Walikuwa na nguvu sana hata kwenye Bible wamo
Ila baadae wakashambulia Egypt
Ila ukona mwafrika ana mafuta lazima kutakuwa na mgogoro
Waafrika wakishika madaraka uzalendo wanaweka pembeni kabisa na wanaweza kuiuza nchi kwa maslahi ya wanasiasa wachache

Angalia Asia wakipata mafuta wanavyokuwa na maendeleo
Halafu angalia nchi zetu hata wanaojifanya wamesoma zaidi kama Nigerians bado nao ni vurugu tu na utajiri wa mafuta


Waarabu zaidi ya kuchunga ngamia walikuwa hawajui kitu ila wamepata mafuta na kutumia utajiri wao kwa maendeleo yao

Africa tamaa za wachache ndio zinatufanya tuwe masikini wa kutupwa hata sisi pia
Mkuu huwezi linganisha Democracy na Monarch nchi za waarabu ni monachy
 
muungano ukivunjika soon zanziba itakuwa dola la kiislam, sultan atarudi kuja kuendeleza usultani. Hiyo bendera yao itabadilishwa kuondoa ile ya muungano ndani yake. Siasa za zanzibar zitakuwa vululuvululu, yatatimia yaliyonenwa na nabii mwenye heri nyerere
Aisee sifahamu ila nachojua waarabu watarudi zanzibar hasa wa oman
 
Waislam wakiwa wengi mahali hutamani kufanya mapinduzi
Hata hapa kwetu wanajitahidi siku Moja wafanye mapinduzi na nchi iitwe Dola la kiislam
 
Unamaanisha Maka, Israeli na Vatikani sio.
Hizo miji zisha ziteka akili za Waaafrika.
Wapo tayari kuchinjana wao kwa wao ili kutii kilichoandikwa kwenye hiyo miji.
nadhan anamaanisha Qatar inayo fund kundi la RSF linalosababisha Genocide Sudan
 
Back
Top Bottom