Yoweri Museveni: Sudan haitawaliki sababu Al Bashir alichagua Sudan yenye mrengo wa kidini kuliko Sudan ya wote

Yoweri Museveni: Sudan haitawaliki sababu Al Bashir alichagua Sudan yenye mrengo wa kidini kuliko Sudan ya wote

Uafrica sio weusi mkuu, unatakiwa uofautishe kati ya muafrca na mbantu, Hata kaburu wa Africa Kusini nae ni muafrica
Muafrica ni mtu anaeishi Africa!
Original ya muafrica ni mtu mweusi awe n mbantu au niger congo achana na wavamizi waarabu au makaburu!!

Unahitaji kutolewa uvundo kichwan
 
Katika Hotuba ya Museveni amejaribu kuelezea matatizo yanayoikumba Afrika lakini pia kaelezea mgogoro wa Sudan akidai Katitka Mikutano ya mapatanisho kati ya waasi wa sudani kusini na sudan kaskazini Al Bashir aliambiwa achague kati ya Kuifanya Sudan ni ya wasudani wote (isiyo ongozwa kidini, isiyo ya waarabu tu ya watu wote) au Kuwaacha wasudan kusini ambao walikua si waislam, waafrika.

Lakini yeye alichagua Sudan ya kiislam iwe nchi inayongozwa kwa sheria za kidini, na yenye utambuzi wa kiarabu hivo aliruhusu wasudan kusini wajitenge kuliko kufanya sudani ya wote.

Leo hii sudan haitawaliki imekua failed state.

Mis use of identity. inaanza kututafuna watanganyika na wazanzibar ni mbaya lazima tupige vita sana huo sio uzalendo sisi ni wamoja ni watanzania wote AMEN
 
Mis use of identity. inaanza kututafuna watanganyika na wazanzibar ni mbaya lazima tupige vita sana huo sio uzalendo sisi ni wamoja ni watanzania wote AMEN
nadhan kuna hilo tatizo lakini pia kama kuna vipengele ambavyo havifai kwene muungano vitolewe
 
nadhan kuna hilo tatizo lakini pia kama kuna vipengele ambavyo havifai kwene muungano vitolewe
Tatizo ni maada za muungano ziko nyingi sana mpaka zinaleta complications lkn. wacha wanasiasa watumie kutamba nazo majukwaani. Waligawe taifa
 
Muafrica ni mtu anaeishi Africa!
Original ya muafrica ni mtu mweusi awe n mbantu au niger congo achana na wavamizi waarabu au makaburu!!

Unahitaji kutolewa uvundo kichwan

Ubaguzi unakutesa sana
 
Katika Hotuba ya Museveni amejaribu kuelezea matatizo yanayoikumba Afrika lakini pia kaelezea mgogoro wa Sudan akidai Katitka Mikutano ya mapatanisho kati ya waasi wa sudani kusini na sudan kaskazini Al Bashir aliambiwa achague kati ya Kuifanya Sudan ni ya wasudani wote (isiyo ongozwa kidini, isiyo ya waarabu tu ya watu wote) au Kuwaacha wasudan kusini ambao walikua si waislam, waafrika.

Lakini yeye alichagua Sudan ya kiislam iwe nchi inayongozwa kwa sheria za kidini, na yenye utambuzi wa kiarabu hivo aliruhusu wasudan kusini wajitenge kuliko kufanya sudani ya wote.

Leo hii sudan haitawaliki imekua failed state.

KAONGEA SAHIHI TENA SAHIHI KABISA.
KAMA ANGEKUA KARIBU NINGEMPIGIA SALUTE.
Sudan kaskazini udini na ukabila umetawala kiasi huwafanya wanageukana wenyewe kwa wenyewe.
Kamwe haitatawalika hiyo nchi na kamwe haitapiga hatua kimaendeleo.
 
muungano ukivunjika soon zanziba itakuwa dola la kiislam, sultan atarudi kuja kuendeleza usultani. Hiyo bendera yao itabadilishwa kuondoa ile ya muungano ndani yake. Siasa za zanzibar zitakuwa vululuvululu, yatatimia yaliyonenwa na nabii mwenye heri nyerere
Basi kitu ambacho mmekua hamkifahamu.
Waarabu wenyewe asilia hawaendekezi udini washatoka huko wako civilized.
Kaifuatilie UAE na Qatar uone.
Hakuna kiongozi wa Uarabuni atahangaika na kisiwa chovu kama cha Zanzibar.
Waarabu wametulia kwao wanahangaika kufanya economic adjustment hawana huo udini tena.
Ila hawa waletewa dini waarabu koko mathalan wapemba ndio mashauzi.
Wazo unalosema mfu na la KIPUUZI hata Sheikh Hamad Thamim Al Thani Emir wa Qatar akikusikia atakucheka na KUKUTUKANA kabisa.
 
hiyo ni inferiority complex!!
na Identity crisis!!….

huwezi vijua hivo vitu kama ww mwenyewe una huo ugonjwa hapo juu
Uarabu definition ya sasa sio race wala sio rangi, North Africa, Gulf, Levant etc wote ni waarabu ila hawafanani muonekano.

Mtu yoyote anayeongea kiarabu anaitwa mwarabu. Sudan ni weusi ila ni waarabu, Lebanon na Palestina ni kama wazungu ila ni waarabu, North Africa Morocco, Algeria ni kama Spain na Portugal ila ni waarabu.
 
wanaofund RSF ni UAE sio Qatar mkuu, fuatilia vizuri,

ndio mana lazima tuwe macho na hizi dpw za samia na rostam, UAE sio watu wazuri
sisi ndio wanausalama wenyewe, ya sudan wasituletee tutawatimua mapema bila kujali mikataba yao ya bandari. Halafu kuna wapuuzi wanachinja mifugo mingi nchi nzima, hayo mamilioni ya kununua mifugo mingi na kuichinja yanatoka wapi, wanachinja kufubaza watanzania akili zao kwa hizo sadka/kafara? Yaani tupumbazike akili tuwe wapole tusihoji mikataba nyonyaji ya maliasili zetu !
 
Back
Top Bottom