Yoweri Museveni: Sudan haitawaliki sababu Al Bashir alichagua Sudan yenye mrengo wa kidini kuliko Sudan ya wote

sultan kurudi si yule kikongwe anayeishi ukimbizini baada ya kupinduliwa. Halafu huyo unayesema alipinduliwa kisha akarudishwa hayo yalikuwa ni mapinduzi yaliyoshindwa. Usultan kurudi zanzibar ni rahisi hata kwa sura nyingine. Angalia kile chama cha kipemba mienendo yake
 
Af
Mkuu huwezi linganisha Democracy na Monarch nchi za waarabu ni monachy
 
Aisee sifahamu ila nachojua waarabu watarudi zanzibar hasa wa oman
 
Waislam wakiwa wengi mahali hutamani kufanya mapinduzi
Hata hapa kwetu wanajitahidi siku Moja wafanye mapinduzi na nchi iitwe Dola la kiislam
 
Unamaanisha Maka, Israeli na Vatikani sio.
Hizo miji zisha ziteka akili za Waaafrika.
Wapo tayari kuchinjana wao kwa wao ili kutii kilichoandikwa kwenye hiyo miji.
nadhan anamaanisha Qatar inayo fund kundi la RSF linalosababisha Genocide Sudan
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…