Yoweri Museveni: Sudan haitawaliki sababu Al Bashir alichagua Sudan yenye mrengo wa kidini kuliko Sudan ya wote

ukiongea uwe na takwimu
 

Attachments

  • C546EBE3-6989-43C6-8298-5C7B749EA334.jpeg
    215.3 KB · Views: 5
Sudan kusini walijitenga hasa baada ya kuona wanatengwa japo na wao wana shida zao
 
Ndiyo maana unaona bado hakukaliki hakuliki south Sudan hata baada ya kujitenga, sababu bwana mkubwa bado hajapata lake
Mkuu unachosema kipo lakini atleast tuongee kwa fact mkuu!! Hakuna evidence ya kuwa south sudan inachafuliwa kisa rasilimali shida ni uroho wa madaraka wa viongozi walioshiliki kuikomboa hiyo nchi.

na kama unavojua mkipigana Maadui watajitokeza
 
huyo sultan hajarud somalia na comoro ndo arudi zenj ? hizi propaganda za ccmu ni za kijinga sn
 
huyo sultan hajarud somalia na comoro ndo arudi zenj ? hizi propaganda za ccmu ni za kijinga sn
kwaiyo unadhan ccm ina muda hata wakukujibu?? hawa ni watanzania!
 
Kula nyama nyamaza. Dua la mwarabu likupate wewe mbonde wa majohe.
 
Mkuu unachosema kipo lakini atleast tuongee kwa fact mkuu!! Hakuna evidence ya kuwa south sudan inachafuliwa kisa rasilimali shida ni uroho wa madaraka wa viongozi walioshiliki kuikomboa hiyo nchi.

na kama unavojua mkipigana Maadui watajitokeza
Marekani kaanzisha chokochoko Sudan siku nyingi,garang kijana na hakuwa mshika beram
 
Waarabu kiasili ni watu wa gulf tu, Oman, Yemen, Saudi, UAE, Qatar etc.

North Africa, Sudan, Egpty, Lebanon, Palestine, Part ya Syria, Iraq etc sio waarabu kiasili ila wamekuwa arabized, sababu wanaongea kiarabu na kufuata tamaduni baadhi za kiarabu basi wanaitwa waarabu.

Sudan ni kushite, Morocco, Algeria, Tunisia na Libya ni Amazingh/Berbers, Egpty wapo kuishite na Copts, Lebanon na Palestina ni Levant etc.

 
Mkiristo gani anangangania madaraka?
 
Walikua Arabised bila waarabu kufika ? ebu kasome Arab invasion ya Egypt na hizo nchi utajua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…