Mr Chromium
JF-Expert Member
- Aug 20, 2020
- 2,761
- 3,835
- Thread starter
- #101
ukiongea uwe na takwimuAl Bashir katawala baadae Sana,watawala wa mwanzo hawakua na mrengo wa dini lakini bado palikua na Vita sudani, mabeberu walinyimwa mafuta yaliyopo kusini,na kusini wengi wakiristo,wakatumia dini kuivuruga Sudan,hata John garang wa Sudan kusini ambaye hakupenda nchi kugawanywa,akauawa kwa ajali ya helicopter