Muuza Kangala
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 1,242
- 4,813
Mengine mkosoeni ila, mradi wa JNHP alikuwa anaenda vizuri.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We ni pimbi kabisa. Ile service ya mitambo ilikuwa ni upigaji tu wa wahuni.Ubunge wenyewe tia maji tia maji.
Huyu ndio kidogo aue mitambo ya umeme kwa kulazimisha ifanye kazi ya umeme bila service, hakuwa na mpango kazi wowote wa umeme kama ilivyo Sasa.
Kule Chato miradi yote aliifanya JPM akiwa mbunge na Waziri, yeye hajafanya chochote kile kwa nafasi yake ya ubunge na uwaziri, na Sasa JPM kafa, ndio hajafanya chochote kabisa
Kalemani pita hukuuuu.....
Mtakula nchima sana na bosi wako mfupi kama pimbiWe ni pimbi kabisa. Ile service ya mitambo ilikuwa ni upigaji tu wa wahuni.
Miaka yote zipo miaka yote
Unadhania nipo Chato? Mimi nimeuliza tuMtakula nchima sana na bosi wako mfupi kama pimbi
Tangu JPM afe, Kila mtu wa Chato anapakataa, wewe si ni mkazi wa ichwankima huko, mambo ya Petro na jogoo kuwika mara tatu, simjui mtu huyuUnadhania nipo Chato? Mimi nimeuliza tu
Nilijua utasema upuuzi tuTangu JPM afe, Kila mtu wa Chato anapakataa, wewe si ni mkazi wa ichwankima huko
Ndio hivyo, acha ushamba wa BwinaNilijua utasema upuuzi tu
Sawa boss wa ChatoNdio hivyo, acha ushamba wa Bwina
Kwani Katwale atagombea ubunge?Ndio hivyo, acha ushamba wa Bwina
Anapita asubuhi tu kabla ya chai kuiva. Jamaa yako tunamkata pale Dodoma.Kwani Katwale atagombea ubunge?
We umejuaje?Anapita asubuhi tu kabla ya chai kuiva
Bila Busta ya JPM ni mweupe kama mviWe umejuaje?
Basi Katwale awe mbunge we uwe katibu wake.Bila Busta ya JPM ni mweupe kama mvi
Cha msingi ajihadhari na sumu za mamba na wachawi, gambushi nyingi sana huko.Basi Katwale awe mbunge we uwe katibu wake.
Anazipitia kila siku footage za CCTV za mashablizi ya Jiwe kwa ATL
Amehifadhi wapi?Anazipitia kila siku footage za CCTV za mashablizi ya Jiwe kwa ATL