Yuko wapi mkaka/mdada aliekuwa anakupenda sana kipindi hicho ukamkataa and viceversa

Yuko wapi mkaka/mdada aliekuwa anakupenda sana kipindi hicho ukamkataa and viceversa

Mimi nina tu visa twingi miaka imepita ila kuna mmoja tu najua alitoroka kwao akaenda olewa mimi sikuepo huko nyumbani niko zangu masomoni, aliolewa huko Katavi kwa kina MAYOMBI..

Huyu alinipiga kitu kizito kichwani ndiyo nikiwa nakaribia kumaliza paper langu la mwisho chuoni, daah sitasahau nikiri tu yakua nlkua nampenda sana basi tu haikua ridhiki.. Angelisubirigi hata nimalizage mtihani tu make si kwa maumivu yale afu mnyama UE yupo mbele umebaki muda wa lala salama..
Ulikwepa vyuma mkuu[emoji23][emoji23] au ulinasa ukachomoa.

Hawa watu sio waku commit sana Mzee utakuja haribu mambo ya msingi sababu yao
 
Habarini ndugu zangu, hongereni na poleni kwa majukumu yetu ya kila siku.

Bila kupoteza muda, katika maisha kuna kipindi tunajikuta tunapendwa na wenzetu wa jinsia tofauti, hivyo wanatumia approaches mbalimbali kuweza kutupata. Lakini, yote ya yote tunaishia kuwachomolea mbali kwa sababu ambazo zinaweza kuwa ni kuwa kwenye mahusiano kwa wakati huo, kutokuwa tayari kuwa kwenye mahusiano, KUTOKUKUBALIWA tu jinsi ulivyo etc.
Wapo kama watatu hivi, ila kuna huyu mmoja aliamua kuniacha kwasababu alizojua mwenyewe.

After that akanimute whatsapp ili nisione status zake, soon after akaniblock kabisa. Sikureact kivyovyote, nikavunga. Kuna mdogo wangu mmoja wa kiume ndio akawa ananiambia, huyu jamaa aliyepostiwa na fulani ndio bwana wake mpya? Nikawa na mjibu, yawezekana ndio huyo (sikutaka kumwambia dogo kuwa demu aliniblock wala sio i status zake).

Baada ya miezi 5, dogo ananiambia "Shem (yule demu) siku hizi naona anaweka status za ushauri na majonzi, vipi amezinguana na jamaa yake? Me nikawa najibu kuwa sina uhakika.

Kuna siku akanitext kwa nomo msg, nikareply vizuri tu, hatukuchat sana zaidi ya salamu. Siku nyingine akanipigia cm kwa namba ngeni ila sikupokea, kwenye kuchat ndo akajitambulisha kuwa ni yeye alikuwa ananisalimia tu. Ghafla from nowhere nikaanza kuona status zake ( inaonekana aliamua kuni unblock). Nikawa nazikaushia, then nikaweka ile setting kwamba nikiview status zake tu, isioneshe kama nimeview. Nilipoona dalili zinaonesha kuwa mahusiano yake mapya yamezingua, nikaamua kumblock kote na kufuta namba yake rasmi. Binafsi naamini sikuletwa kwenye hii dunia kuliwaza watu wasionijali.

From that day, sijawahi kujua alipo au anaendeleaje. Hata mdogo wangu nae alipotezaga simu, so hajui chochote kuhusu yeye.
 
Wapo kama watatu hivi, ila kuna huyu mmoja aliamua kuniacha kwasababu alizojua mwenyewe.

After that akanimute whatsapp ili nisione status zake, soon after akaniblock kabisa. Sikureact kivyovyote, nikavunga. Kuna mdogo wangu mmoja wa kiume ndio akawa ananiambia, huyu jamaa aliyepostiwa na fulani ndio bwana wake mpya? Nikawa na mjibu, yawezekana ndio huyo (sikutaka kumwambia dogo kuwa demu aliniblock wala sio i status zake).

Baada ya miezi 5, dogo ananiambia "Shem (yule demu) siku hizi naona anaweka status za ushauri na majonzi, vipi amezinguana na jamaa yake? Me nikawa najibu kuwa sina uhakika.

Kuna siku akanitext kwa nomo msg, nikareply vizuri tu, hatukuchat sana zaidi ya salamu. Siku nyingine akanipigia cm kwa namba ngeni ila sikupokea, kwenye kuchat ndo akajitambulisha kuwa ni yeye alikuwa ananisalimia tu. Ghafla from nowhere nikaanza kuona status zake ( inaonekana aliamua kuni unblock). Nikawa nazikaushia, then nikaweka ile setting kwamba nikiview status zake tu, isioneshe kama nimeview. Nilipoona dalili zinaonesha kuwa mahusiano yake mapya yamezingua, nikaamua kumblock kote na kufuta namba yake rasmi. Binafsi naamini sikuletwa kwenye hii dunia kuliwaza watu wasionijali.

From that day, sijawahi kujua alipo au anaendeleaje. Hata mdogo wangu nae alipotezaga simu, so hajui chochote kuhusu yeye.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Daaah kaka ulifanya kiume sana hapo, na hajawahi kukufata home akuombe radhi
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Daaah kaka ulifanya kiume sana hapo, na hajawahi kukufata home akuombe radhi
Hawezi nifata, maana hajui niko sehemu gani exactly, zaidi ya kujua tu jina la mkoa niliopo.
 
Naweza sema ni mwanaume aliyenipenda kuliko wanaume wote niliowahi tongozwa ama kuwa nao kimahusiano, ila moyo wangu kwake ukawa mzito hakushtua hisia zangu na kwa maadili na wema wake kwangu nikaona iko siku nitamuumiza na kuweka kumbukumbu mbaya kwake, nikamkataa,,, Kuna wakati ilikuwa karibu kabisa anioe,

mwaka huu Feb nikachomoa mazima, alisikitika mno,,........ Baada ya muda mama Samia akamlambisha uteuzi, kila la heri kwake

Hehehehe kwa hiyoo
 
Back
Top Bottom