Dejane
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 50,587
- 71,492
Tupe namba basiNdo hivyo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tupe namba basiNdo hivyo
😂😂 Ili ukapande livieite la muheshimiwa!! Acha akomae na maisha yake siwezi itoa namba yake kihivyoTupe namba basi
😂😂😂😂 eeeee wacha wivu😂😂 Ili ukapande livieite la muheshimiwa!! Acha akomae na maisha yake siwezi itoa namba yake kihivyo
Wivu wa Nini hapo na wewe D, sina utoto huo, saiv kakalia kiti teule itakuwa kampata wa kupendana nae, sijawasiliana nae muda mrefu tangu nimpongeze na uteuzi basi sijamtafutaga tena😂😂😂😂 eeeee wacha wivu
Haya mamaWivu wa Nini hapo na wewe D, sina utoto huo, saiv kakalia kiti teule itakuwa kampata wa kupendana nae, sijawasiliana nae muda mrefu tangu nimpongeze na uteuzi basi sijamtafutaga tena
Naam,wewe umekomaa!From that day, sijawahi kujua alipo au anaendeleaje. Hata mdogo wangu nae alipotezaga simu, so hajui chochote kuhusu yeye.
Tunaenjoy ila bado tunakupenda.Ex zangu na wale mlionipenda nikashindwa kuwapenda natumaini mnaenjoy maisha huko mlipo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nawapenda pia.Tunaenjoy ila bado tunakupenda.
Inabid waanze toa funzo kwa wadogo zao waliopo vyuoniKwa bahati mbaya wanaangukia pua...
aisee naona mkuu uliamua kumpandishia vioo na lock ukamuwekea kabisaHawezi nifata, maana hajui niko sehemu gani exactly, zaidi ya kujua tu jina la mkoa niliopo.
mkuu ukaamua umtanulie jamaa njia kabisa, vipi uliikuta bikira???Nilikula mbususu a week before ndoa yake, nikamwambia hatuwezi kuhusiana kwasababu angekuwa mle wa mtu soon.
love is a beautiful thing dont get twisted, Kila la heri huko aliko ... kuna mtu kanmbia love cycleD alinipenda sana,alinipenda na nilijua kabisa kua ninapendwa sana.
Mwanzoni sikumkubali na swaga zake ila baadae nikaja kumpenda sana.
Alipojua kua nampenda sana na sifurukuti kwake,akachukulia kawaida na akabadilika tukaachana.
D nakutakia kila lenye kheri ukampate mwanamke sahihi wa maisha yako.
Sent from my Infinix X572 using JamiiForums mobile app
Si connection na wenzio wafaidi ulichoshindwa wewe😂😂 Ili ukapande livieite la muheshimiwa!! Acha akomae na maisha yake siwezi itoa namba yake kihivyo
Mbususu ililiwa siooooMkwara niliochimbwa na mumewe, sitajaribu hivi karibuni kuwasiliana na huyu ex wa Chanika. Lakini walau tulitimiza tulichoshindwa wakati tukiwa huru!