Yuko wapi mkaka/mdada aliekuwa anakupenda sana kipindi hicho ukamkataa and viceversa

Yuko wapi mkaka/mdada aliekuwa anakupenda sana kipindi hicho ukamkataa and viceversa

Wakati niko chuo undergraduate, nilikuwa naamini katika kupata mke wa kuoa chuoni. Basi nikaanza pilikapilika. Enzi hizo akina dada wachache university. Kulikuwa na 3 niliokuwa naona wananifaa. Jaribu jaribu, wapiiii. Hakuna kitu. Wanaonipenda, siwapendi. Ninaowapenda, hawanipendi. Basi nikamaliza chuo hivyo hivyo, kibingwa bingwa. Nilivyokuwa postgraduate ndio nikapata mweza. Sasa wale warembo 3 nilikuwa natafuta mmoja wapo - wawili ni ma-single mother mpaka leo, mmoja ndiye alifanikiwa kuolewa.
Daah mkuuuu kama nakuona ulivofurahi kuwaona single mom, utakuwa unajisemea kiburi chenu kiliwaponza
 
Mimi huwa nawatongoza wanawake wanaoonekana wanaheshima/watu wa dini lengo langu ni kumpata bikra nitakae mpenda sana.

Lakin bahati mbaya Licha ya muonekano wao wa kidini sijawahi kubahatisha bikra ila Nina bahati ya kuwa wao huwa wananipenda sana lakin ninawaacha kikatili kwakua moyo wangu unahisi tayari Wana watu wao waliokwisha kupendana kabla ya uwepo wangu

Ninawaacha na kuendelea na safari yangu ya kutafuta mwanamke ambae Mimi ndo nitakua mpenzi wake wa kwanza

Hivyo katika hao nilio achana nao mimi upendo wangu unafutika na sibakizi hata chembe ya upendo wangu juu yao, nafanya haya yote kwa kuzingatia husia huu "Owa mwanamke unae mpenda na usioe mwanamke kwa kumuonea huruma"
 
Mimi huwa nawatongoza wanawake wanaoonekana wanaheshima/watu wa dini lengo langu ni kumpata bikra nitakae mpenda sana
Lakin bahati mbaya Licha ya muonekano wao wa kidini sijawahi kubahatisha bikra ila Nina bahati ya kuwa wao huwa wananipenda sana lakin ninawaacha kikatili kwakua moyo wangu unahisi tayari Wana watu wao waliokwisha kupendana kabla ya uwepo wangu

Licha ya wao kunipenda sana Mimi huwa ninawaacha na kuendelea na safari yangu ya kutafuta mwanamke ambae Mimi ndo nitakua mpenzi wake wa kwanza

Hivyo katika hao nilio achana nao mimi upendo wangu unafutika na sibakizi hata chembe ya upendo wangu juu yao, nafanya haya yote kwa kuzingatia husia huu "Owa mwanamke unae mpenda na usioe mwanamke kwa kumuonea huruma"
Dah mkuu siutatafuna hadi wake zetu wa badae kwa namna hii
 
dah mkuu siutatafuna hadi wake zetu wa badae kwa namna hii
Mkuu natafuta mwanamke bikra hakika mimi nimetulia sana na nikimpata nitampenda sana na ikiwa yeye atanipenda pia huyo ndo nitakae muoa
ila kwa ambae nitamkuta siyo bikra nitaachana nae bila kuyajali machozi yake hata anipende vipi, kwakua nikimuoa moyo wangu hautaacha kuhisi nimeoa mpenzi wa mtu hivyo sitaweza kumpenda

Na nisipo pata nipo tayari kutokuoa kabisa .
 
Mkuu natafuta mwanamke bikra hakika mimi nimetulia sana na nikimpata nitampenda sana na ikiwa yeye atanipenda pia huyo ndo nitakae muoa
ila kwa ambae nitamkuta siyo bikra nitaachana nae bila kuyajali machozi yake hata anipende vipi, kwakua nikimuoa moyo wangu hautaacha kuhisi nimeoa mpenzi wa mtu hivyo sitaweza kumpenda

Na nisipo pata nipo tayari kutokuoa kabisa .
ila mtoto unaweza zaa naye
 
Naweza sema ni mwanaume aliyenipenda kuliko wanaume wote niliowahi tongozwa ama kuwa nao kimahusiano, ila moyo wangu kwake ukawa mzito hakushtua hisia zangu na kwa maadili na wema wake kwangu nikaona iko siku nitamuumiza na kuweka kumbukumbu mbaya kwake, nikamkataa,,, Kuna wakati ilikuwa karibu kabisa anioe,

mwaka huu Feb nikachomoa mazima, alisikitika mno,,........ Baada ya muda mama Samia akamlambisha uteuzi, kila la heri kwake
Mkuu haijakuumaaa maana najua leo ungeitwa mama Mh
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Nimewaza tuuu
 
Hapana siwez kuzaa na mwanamke nisiempenda kwakua sitaweza kuishi mbali na mtoto wangu nikiwa nipo hai Bora nimzalishe ninae mpenda ili tuishi wote na kumpata nitakae mpenda kigezo ni lazma awe bikra
sasa mkuuu huyo bikira siukamuwahi labour huko.

ila nasikia kuna watoto huko ndoa wengi ni bikira jaribu tupia jicho huko
 
Back
Top Bottom