Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nilikataa kwa utashi wangu, kwanini niumie, isitoshe nilipo saiv ni pazuri zaidi ya yeye, ananizidi umaarufu na ile heshima ya kiserikali na kisiasa,Mkuu haijakuumaaa maana najua leo ungeitwa mama Mh
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Nimewaza tuuu
nawe uko kwa mmeo kipenzi kipyaYuko KWA mkewe kipenzi kipya
Mimi niko zangu KWA kipenzi elimnawe uko kwa mmeo kipenzi kipya
kumbe bado hajapata?? sindo uwa connectishe wengine sasaNilikataa kwa utashi wangu, kwanini niumie, isitoshe nilipo saiv ni pazuri zaidi ya yeye, ananizidi umaarufu na ile heshima ya kiserikali na kisiasa,
-Ningemuumiza hivyo nilitumia uungwana kukataa ombi lake
-Nina majukumu mengi kifamilia, sikutaka kumbebesha majukumu hayo, mnajijua waafrika na gubu zenu
-Kwa historia yake hana makando kando mengi ktk mahusiano,, wanaume wa hivi ni rahisi Sana kubabaika na wanawake akizifuma
Kwa roho nyeupe kabisa namtakia mema yote na ampate wa kukidhi haja yake, story ndefu niliwahi hata kumtabiria hayo aliyonayo na Ni mwanzo tu atapata nafasi kubwa zaidi ya aliyonayo sasa
uyoo mpenzi wetu sote japo hawezi kukuoaMimi niko zangu KWA kipenzi elim
Wewe nimeshakujibu siwezi toa namba ya mtu humu mtandaoni wa wasiojulikana, halafu sidhani km atakosa mtu saiv papuchi zitakuwa zinamnyemelea ile mbayakumbe bado hajapata?? sindo uwa connectishe wengine sasa
ahahahahah sawa mkuu ngoja atafune mbususuWewe nimeshakujibu siwezi toa namba ya mtu humu mtandaoni wa wasiojulikana, halafu sidhani km atakosa mtu saiv papuchi zitakuwa zinamnyemelea ile mbaya
Itakuwa unamtamania!!!😂😂😂ahahahahah sawa mkuu ngoja atafune mbususu
[emoji1787]uyoo mpenzi wetu sote japo hawezi kukuoa
mkuu ukaamua umtanulie jamaa njia kabisa, vipi uliikuta bikira???
Yaah...Ila wanawake sikio la kufaInabid waanze toa funzo kwa wadogo zao waliopo vyuoni
[emoji23][emoji23]kuimba kupokezanaaItakuwa unamtamania!!![emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji28][emoji28][emoji28]duuuhBikra ya uani, ila sio barazani
Likifaa ndo basiiYaah...Ila wanawake sikio la kufa
Tupe namba basi
Nawah fursa 😂😂
Nawah fursa 😂😂
Nawah fursa 😂😂
😂😂😂😂 kakaza balaa mchizi wanguMtoa Fursa Kakaza kutoa connection! Ila usijali makapuku tupo.😃😃😃