Yuko wapi mkaka/mdada aliekuwa anakupenda sana kipindi hicho ukamkataa and viceversa

Wivu wa Nini hapo na wewe D, sina utoto huo, saiv kakalia kiti teule itakuwa kampata wa kupendana nae, sijawasiliana nae muda mrefu tangu nimpongeze na uteuzi basi sijamtafutaga tena
Kumbe ulimpongeza! siyo karoho kaliuma vile?
 
Hawaonyeshi interest na wewe baada ya kuwa single mother?
 
Sasa we unataka uwe wa kwanza kwako bila wewe kuwa wa kwanza kwake!!
 
Wamechoka sana. Walikuwa ma-beauty queens UD. Mimi nikiwa kama Mpoki na Joti wa enzi za ITV. Sasa niko km Mpoki na Joti wa hivi sasa. Hawawezi kunitaka kwa vile nina familia na wanajua hivyo. Of course, watakuwa wanatamani familia yangu - hali ya kuwa na baba, mama na watoto.
hawaonyeshi interest na wewe baada ya kuwa single mother?
 
Wewe tu na fikira zako ila sitajieleeeza kwako,, muda huo sina kwahiyo waza utakavyo,
Punguza jazba. hapa ni kama tunapiga story tu na tunapata experience tofauti. Ume over-react dadangu!
 
punguza jazba. hapa ni kama tunapiga story tu na tunapata experience tofauti. Ume over-react dadangu!
Ukiona nime over-react nayo ni mtizamo wako,, sikuwekei kikomo waza uwezavyo juu yangu
 
Fikiria zaidi mkuu! Usitafute mke kwa vigezo hivyo, utajichukia bure
 
Walipishana na gari ya mapesaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…