Yuko wapi mkaka/mdada aliekuwa anakupenda sana kipindi hicho ukamkataa and viceversa

Yuko wapi mkaka/mdada aliekuwa anakupenda sana kipindi hicho ukamkataa and viceversa

Nilimfata kiheshima nikamueleza nataka kumuoa, akaniambia lazima akamuulize Mungu, nikaheshimu hilo, nikamuelewa kua sili papuchi mpaka nimuoe (Tumeokoka)

Mawasiliano ya kawaida yakaendelea nikisubiri jibu, baada ya mwezi akaanza dharau, meseji inakaa masaa 23 ndo anajibu,simu haipokelewi, ukimuuliza anadai yuko bize.

Nikavumilia nikijisemea labda ni maringo tu ya kike, lakini alifika hatua nikajua tu huyu analeta dharau, na wala sio maringo, siku nikamuuliza unaendeleaje na maombi?

Akaniambia yeye sahivi hataki kuolewa anataka kwenda chuo kuongeza elimu (which is understandable) ila najua hana wa kumsomesha na mimi nilimwambia tukioana unaweza soma vizuri tu, ila siwezi somesha mchumba, but kona zikawa nyingi, mwisho akasema hayupo tayari kwasasa, tukaagana kiroho safi.

Baada ya miezi kadhaa, akaanza kuwasumbua watumishi wakaribu waniambie ananipenda, kisa amesikia nimepata mtu na tufunga ndoa soon, uvumilivu ukamshinda akaanza nitafuta akiwa mkarimu na mcheshi sana.

Nikamueleza ukweli, kwamba jumbe zake nazipata ila kachelewa mimi ninamtu tayari hivyo aangalie ustaarabu mwingine, alivyo waajabu akadai wale watumishi hawakumuelewa vizuri eti yeye aliwambia ananipenda "Kipendwa" nikacheka sana.

Sahivi anatumaga tu meseji sijibu.
 
Daah hii imenikumbusha J wangu miaka hiyo....

Huyu dada nilimpenda sana na alilijua hilo hilo hakuwahi nikubalia nilianza kumtongoza toka nikiwa Form four ye akiwa form one,alinigomea kabisa japo tulikuwa tunakutana tunakiss na nini ila mbususu aligoma kabisa ....

Basi bhana baada ya miaka 6 kupita akaja nichek kipindi hicho niko mkoa x kikazi na nishakuwa na familia tayari akaniambia yupo mkoa X niende anitunuku mbususu kama zawadi ya upendo niliomuonesha..mzee mzima nikaamua kuchepuka for the first time asee nilikula hiyo mbususu three days,yan ni kupika kupakua plus mbususu kiufupi nilivushwa maana nilikuwa gheto kwake....

Baada ya hapo niliporudi kazini hatukuwah kuonana tena mpaka leo na sijui yupo wapi binti mlokole J wangu dah [emoji24]

Popote ulipo niite basi tena J nimemiss show yako
 
Fungu nililopata ni mara kumi zaidi ya hiyo, Basi tu roho yangu iliona simfai kuwa nae. Kuna wanaume ni wema mpaka unahisi umekutana na malaika.
Hivi hapa kuhisi hufai mbele za MTU nikwamba ww unajiona kama utamtesa ktk Nyanja mfano,zauchepukaji au kumkosea heshima or whatever,au unamaana gani hasa hapa mkuu
 
Hivi hapa kuhisi hufai mbele za MTU nikwamba ww unajiona kama utamtesa ktk Nyanja mfano,zauchepukaji au kumkosea heshima or whatever,au unamaana gani hasa hapa mkuu
Ana swaga za kichungaji sana,, ningechepuka

Baadhi ya wanawake tunapenda kuolewa na wanaume wenye uzoefu na wanawake(k) aina hiyo wanajua kuwa waume wazuri ndani na huyo hakuwa hivyo....... nikachora
 
Wapo kama watatu hivi, ila kuna huyu mmoja aliamua kuniacha kwasababu alizojua mwenyewe.

After that akanimute whatsapp ili nisione status zake, soon after akaniblock kabisa. Sikureact kivyovyote, nikavunga. Kuna mdogo wangu mmoja wa kiume ndio akawa ananiambia, huyu jamaa aliyepostiwa na fulani ndio bwana wake mpya? Nikawa na mjibu, yawezekana ndio huyo (sikutaka kumwambia dogo kuwa demu aliniblock wala sio i status zake).

Baada ya miezi 5, dogo ananiambia "Shem (yule demu) siku hizi naona anaweka status za ushauri na majonzi, vipi amezinguana na jamaa yake? Me nikawa najibu kuwa sina uhakika.

Kuna siku akanitext kwa nomo msg, nikareply vizuri tu, hatukuchat sana zaidi ya salamu. Siku nyingine akanipigia cm kwa namba ngeni ila sikupokea, kwenye kuchat ndo akajitambulisha kuwa ni yeye alikuwa ananisalimia tu. Ghafla from nowhere nikaanza kuona status zake ( inaonekana aliamua kuni unblock). Nikawa nazikaushia, then nikaweka ile setting kwamba nikiview status zake tu, isioneshe kama nimeview. Nilipoona dalili zinaonesha kuwa mahusiano yake mapya yamezingua, nikaamua kumblock kote na kufuta namba yake rasmi. Binafsi naamini sikuletwa kwenye hii dunia kuliwaza watu wasionijali.

From that day, sijawahi kujua alipo au anaendeleaje. Hata mdogo wangu nae alipotezaga simu, so hajui chochote kuhusu yeye.

Woooote wameelezea ila wewe mkuu umetisha wasichana wanajifanyaga wana maamuzi mazur ila hujutiaga baadae
 
Binti mmoja nilimpenda alinipenda toka tupo advance adi tunamaliza.sikufanikiwa kuendelea mbele niliishia 6 na yeye hakufanikiwa tukaendelea na mahusiano tulivo Rudi mtaani akaanza kupendeza,kujua mji,clubs,viwanja kwa sana marafiki wapenda bata wakawa wakwake vitimbwi/visa vikaanza akaniweka chonjo na kunitukana na block nakufuta namba zangu kisa kipindi hicho sina maisha bado nipo home akapata bishoo mmoja walikutana club moja hivi akaona amepata mwanaume kisa yule dogo kaka ake ni msanii mkubwa hapa Tz akamdanganya kuwa wazae wataoana na kuishi pamoja mixer wakiitaji kutoka dogo anakuja kumchukua bibie na mkoko wanaingia viwanja baada ya yule bishoo kumjaza yule bi dada akala kona hatoi pesa ya matunzo ili kulea ile mimba akakonda sanaaa baada ya kujifungua jamaa akawa haudumii yani hadi bibie amsemee kwa kaka akee ndo anatoa pesa huwezi amini alinianfolllow IG,na kuniblock everywhere akanianblock na kunitafuta tena akinililia turudiane nimuoe kabisa nikampa makavu now nina life langu na mtoto so nna mtu na tunamipango ya kuoana hadi leo hii ananisumbua whatsapp,normal txt/calls Turudiane japo kiwizi wizi.
 
Binti mmoja nilimpenda alinipenda toka tupo advance adi tunamaliza.sikufanikiwa kuendelea mbele niliishia 6 na yeye hakufanikiwa tukaendelea na mahusiano tulivo Rudi mtaani akaanza kupendeza,kujua mji,clubs,viwanja kwa sana marafiki wapenda bata wakawa wakwake vitimbwi/visa vikaanza akaniweka chonjo na kunitukana na block nakufuta namba zangu kisa kipindi hicho sina maisha bado nipo home akapata bishoo mmoja walikutana club moja hivi akaona amepata mwanaume kisa yule dogo kaka ake ni msanii mkubwa hapa Tz akamdanganya kuwa wazae wataoana na kuishi pamoja mixer wakiitaji kutoka dogo anakuja kumchukua bibie na mkoko wanaingia viwanja baada ya yule bishoo kumjaza yule bi dada akala kona hatoi pesa ya matunzo ili kulea ile mimba akakonda sanaaa baada ya kujifungua jamaa akawa haudumii yani hadi bibie amsemee kwa kaka akee ndo anatoa pesa huwezi amini alinianfolllow IG,na kuniblock everywhere akanianblock na kunitafuta tena akinililia turudiane nimuoe kabisa nikampa makavu now nina life langu na mtoto so nna mtu na tunamipango ya kuoana hadi leo hii ananisumbua whatsapp,normal txt/calls Turudiane japo kiwizi wizi.
Kula mbussu hiyo weye sii inajileta yenyewe
 
Wapo kama watatu hivi, ila kuna huyu mmoja aliamua kuniacha kwasababu alizojua mwenyewe.

After that akanimute whatsapp ili nisione status zake, soon after akaniblock kabisa. Sikureact kivyovyote, nikavunga. Kuna mdogo wangu mmoja wa kiume ndio akawa ananiambia, huyu jamaa aliyepostiwa na fulani ndio bwana wake mpya? Nikawa na mjibu, yawezekana ndio huyo (sikutaka kumwambia dogo kuwa demu aliniblock wala sio i status zake).

Baada ya miezi 5, dogo ananiambia "Shem (yule demu) siku hizi naona anaweka status za ushauri na majonzi, vipi amezinguana na jamaa yake? Me nikawa najibu kuwa sina uhakika.

Kuna siku akanitext kwa nomo msg, nikareply vizuri tu, hatukuchat sana zaidi ya salamu. Siku nyingine akanipigia cm kwa namba ngeni ila sikupokea, kwenye kuchat ndo akajitambulisha kuwa ni yeye alikuwa ananisalimia tu. Ghafla from nowhere nikaanza kuona status zake ( inaonekana aliamua kuni unblock). Nikawa nazikaushia, then nikaweka ile setting kwamba nikiview status zake tu, isioneshe kama nimeview. Nilipoona dalili zinaonesha kuwa mahusiano yake mapya yamezingua, nikaamua kumblock kote na kufuta namba yake rasmi. Binafsi naamini sikuletwa kwenye hii dunia kuliwaza watu wasionijali.

From that day, sijawahi kujua alipo au anaendeleaje. Hata mdogo wangu nae alipotezaga simu, so hajui chochote kuhusu yeye.

Binafsi naamini sikuletwa kwenye hii dunia kuliwaza watu wasionijali.
✍🏻✍🏻👏🏻👏🏻👏🏻 makini saana mkuu
 
Nilimfata kiheshima nikamueleza nataka kumuoa, akaniambia lazima akamuulize Mungu, nikaheshimu hilo, nikamuelewa kua sili papuchi mpaka nimuoe (Tumeokoka)

Mawasiliano ya kawaida yakaendelea nikisubiri jibu, baada ya mwezi akaanza dharau, meseji inakaa masaa 23 ndo anajibu,simu haipokelewi, ukimuuliza anadai yuko bize.

Nikavumilia nikijisemea labda ni maringo tu ya kike, lakini alifika hatua nikajua tu huyu analeta dharau, na wala sio maringo, siku nikamuuliza unaendeleaje na maombi?

Akaniambia yeye sahivi hataki kuolewa anataka kwenda chuo kuongeza elimu (which is understandable) ila najua hana wa kumsomesha na mimi nilimwambia tukioana unaweza soma vizuri tu, ila siwezi somesha mchumba, but kona zikawa nyingi, mwisho akasema hayupo tayari kwasasa, tukaagana kiroho safi.

Baada ya miezi kadhaa, akaanza kuwasumbua watumishi wakaribu waniambie ananipenda, kisa amesikia nimepata mtu na tufunga ndoa soon, uvumilivu ukamshinda akaanza nitafuta akiwa mkarimu na mcheshi sana.

Nikamueleza ukweli, kwamba jumbe zake nazipata ila kachelewa mimi ninamtu tayari hivyo aangalie ustaarabu mwingine, alivyo waajabu akadai wale watumishi hawakumuelewa vizuri eti yeye aliwambia ananipenda "Kipendwa" nikacheka sana.

Sahivi anatumaga tu meseji sijibu.
Hii movie namiee nahisi ntakuja isimulia siku moja
 
Back
Top Bottom