Jbst
JF-Expert Member
- Nov 29, 2020
- 1,971
- 4,085
Kipindi nipo shule kuna dem mmoja tulisoma nae aliitwa , ile pisi ni [emoji91] yule dem ni mkali hata sjui nimuelezeeje.
Dem alikua ananikubali sana yaan alikua ananipenda balaa alafu alikua na urafik sana na mdogo wangu, dem alikua anakuja mpaka mitaa ya hom ili tu nimuone ila sasa me kipindi hicho niiikuaa lijinga, yaan nilikua simuelew niilikua nampenda dem mwingine ambaye alikua ananisumbua tu.. yule dem alikua akiwambia washkaji lkn nikawa sijali nikawa nampotezea tu.
Baada ya kumaliza shule skumuonaga tena miaka imekwenda nikaja kumuonaga FB, yaan kabadilika nikamcheki tukawa tunawasliana kawaida nikajikuta nampenda sana, nikaja kugundua kumbe kawa malaya wa online wanajiuza whasap na telegram nilisikitika nikampotezea sikua na namna tena.
Yule dem ambae nilikua nampenda sana kipindi hicho mpaka kumkataa huyu alikuja kuniumiza vibaya mpaka nikawa najuta kupoteza muda wangu kwake dah
Dem alikua ananikubali sana yaan alikua ananipenda balaa alafu alikua na urafik sana na mdogo wangu, dem alikua anakuja mpaka mitaa ya hom ili tu nimuone ila sasa me kipindi hicho niiikuaa lijinga, yaan nilikua simuelew niilikua nampenda dem mwingine ambaye alikua ananisumbua tu.. yule dem alikua akiwambia washkaji lkn nikawa sijali nikawa nampotezea tu.
Baada ya kumaliza shule skumuonaga tena miaka imekwenda nikaja kumuonaga FB, yaan kabadilika nikamcheki tukawa tunawasliana kawaida nikajikuta nampenda sana, nikaja kugundua kumbe kawa malaya wa online wanajiuza whasap na telegram nilisikitika nikampotezea sikua na namna tena.
Yule dem ambae nilikua nampenda sana kipindi hicho mpaka kumkataa huyu alikuja kuniumiza vibaya mpaka nikawa najuta kupoteza muda wangu kwake dah