Kipangaspecial
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 20,778
- 28,722
Huyu unayemtetea aliwahi kusema angekuwa yeye ni Dr Shein asingeruhusu pesa za kumtibu maalim seif zitokeTumuombee apone haraka kama anaumwa pia tofauti za kisiasa zisifike kwenye mambo ya afya.
Hao uliowataja wameugua kwa BAHATI MBAYA ila huyu wa kwetu alikuwa anavitafuta viluilui mwenyewe akifikiri ni sifaHivi wote waliowahi kuugua corona duniani kote walikuwa hawachukui tahadhari? Kwa hiyo waziri mkuu wa uingereza alikuwa hachukui tahadhari? Trump alipokuwa Rais wa Marekani alikuwa hachukui tahadhari? Makamu wake alikuwa alikuwa hachukui tahadhari? Mwacheni Mungu aitwe Mungu!!!au unadhani wale wote ambao hawajaugua corona wao ndio wataalamu Sana wa kuchukua tahadhari kuliko waziri mkuu wa Uingereza na Trump? Mwacheni Mungu aitwe Mungu! Chanjo cha maarifa ni kumjua Mungu.
Ukweli ni kwamba ulinzi namba moja ni Mungu!! Bila yeye tahadhari zote hazifui dafu!! Sisemi kwamba tahadhari watu wasichukue, lakini nasema Mungu kwanza tahadhari baadaye kama alivyotuasa Rais wetu kuwa watanzania tumtangulize Mungu.
Hawezi kudhubutu kulala pale , mara zote anauguliaga nyumbani hata last time issue ya Lindi madaktari walimfuataMkuu Mwenzangu ...madai mazito...
Wampeleke hata Soga akazindue reli ya mwendokasi.Unatumia lugha ngumu na ya chuki.
Miimi kusema raisi aandaliwe tukio kuna ubaya gani?
Mbona walimuandalia tukio la kwenda bandarini kuokota vichwa vya treni?
Again, kama anaumwa wakae kimya. Kama haumwi wamuandalie tukio.
Kwahiyo hospitali imejaa na hivyo haiwezi kupokea wagonjwa wengine.Kuna jamaa yangu yuko Nairobi ananiambia Nairobi Hospital hakuingiliki kabisa. Haijulikani kuna nini ila ulinzi wa pale haijawahi tokea, wagonjwa wanashauriwa kwenda Hospitali zingine.
Atoke hadharani afute lile somo jipya la kizalendoNingekuwa na uwezo, rais kesho atoke asemee jambo lolote la muhimu kwa maslahi ya nchi yetu.
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
MalagalasUpo nguruka mpeta uvinza au malagalasi mkuu
Mbona hamwandika jina kamili
Unakosea Sana na watoka Sana nje ya mtoa mada, mtakua lini , au mtazeeka lini japo kuwa sensitive na maoni Kama ya mtoa mda punguza ushabiki kwenye nada zenye mantiki ya kitaifa
Mtu mwema wakati anaagiza watu wasiojulikana wafanye yao? Wema gani unaouzungumzia?Mwongo wewe!! Kwa nini watu hamna shukrani? Mungu ametupa Rais mzuri mpaka makaburu wanatuonea wivu!! Ni mchawi tu achukiaye mtu mwema!
Asante! Lakini ukweli unabaki kuwa Mungu ametupa Rais mzuri sana Tanzania.Ww ni jinga
Nukuu:Ni vibaya mno tena ni dhambi kushabikia binadadamu mwenzako afe. Tuliyaona hayo wakati Tundu Lissu anapigwa risasi. Ikafikia hata watu kusema akirudi nchini safari hii hatutakosea. Hao waliokuwa wanafurahia mateso ya Tundu Lissu ndo leo wanawalaumu wale wanaokuwa na mwelekeo wa kufurahia hii habari inayo-trend! Binadamu si wema.
Jibu unaloSmart911 unazungumzia apewe wepesi UPI? Wa kuondoka au wa kubaki?
Binafsi nilipoona T Lissu kapost, imenibidi nihisi jambo na niache kupuuza mambo.Mimi hao wengine hawanishangazi maana ndio kazi yao huko mitandaoni ila mtu kama Lisu ndio kaniacha mdomo wazi.
Aliwaambia wahaya, katerelo ninyi, ukimwi ninyi, leo tetemeko.Hatupaswi kumsema vibaya rais, ni kumkosea adabu. Pia hatukatazwi kuwa na hofu ikiwa hatujamsikia siku kadhaa ikiwa tulizoea kumsikia na kumwona kila wakati.
Yeyote akiugua ni bahati mbaya! Ukweli ni kwamba kwa mazingira yetu, hakuna mwenye uwezo wa kuchukua tahadhari kama inavyotakiwa! Hali na mazingira haviruhusu, ndio maana tunamtanguliza Mungu!Hao uliowataja wameugua kwa BAHATI MBAYA ila huyu wa kwetu alikuwa anavitafuta viluilui mwenyewe akifikiri ni sifa
Hapana. Yeye ni mmoja wa watu wanaoamini katika Mungu na sala. Kama anaumwa, tunapaswa kumwombea apone maradhi yake. Sidhani ni sahihi kumwombea apone kama haumwi - hapo ndio umuhimu wa kusema anaumwa ama la unakuja.Sio lazima. Mwanzo alizushiwa kifo na hakuwahi kutokeza mtu yeyote kukanusha. Kwahiyo wacha wajinga waendelee kutiana ujinga.