Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi ukinyamaza unapungukiwa nini?Ndio mkuu wapinzani wako busy na kuzushia watu maradhi na vifo, wangapi wamezushiwa vifo ila bado tunawaona hai? wangapi wamezushiwa maradhi ila tunawaona wazima?
Huyo Magufuli alizushiwa kachanjwa chanjo ya corona ila alipofariki wao wao tena wanazusha kafa kwa corona. Tuna wapinzani wa hovyo wasio na msaada wowote kwenye taifa ni wapenda umbeya wa kisiasa tu.
Kwani wewe ukipotezea post zangu utapungukiwa nini?Hivi ukinyamaza unapungukiwa nini?
duh!Ni kukumbushana tuu.
P