Yuko wapi Rais Magufuli? Msiache tetesi zienee. Kama anaumwa mnasema "ANAUMWA"

Yuko wapi Rais Magufuli? Msiache tetesi zienee. Kama anaumwa mnasema "ANAUMWA"

Status
Not open for further replies.
Ndio mkuu wapinzani wako busy na kuzushia watu maradhi na vifo, wangapi wamezushiwa vifo ila bado tunawaona hai? wangapi wamezushiwa maradhi ila tunawaona wazima?

Huyo Magufuli alizushiwa kachanjwa chanjo ya corona ila alipofariki wao wao tena wanazusha kafa kwa corona. Tuna wapinzani wa hovyo wasio na msaada wowote kwenye taifa ni wapenda umbeya wa kisiasa tu.
Hivi ukinyamaza unapungukiwa nini?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom