CCM wana aibu, hebu rudia aliyokuawa anaongea yule BASHIRU alafu useme kama ana aibu , ama walivyokuwa wanadanganya kuhusu corona, sijui kupima mapapai,
Kitu hujui uliza, hata akifa mkulima kabla ya kupiga ukunga lazima mambo ndani ya nyumba yawekwe vizuri la sivyo baada ya kilio utakuta kila kitu kimeibiwa, sembuse mkuu wa nchi!
Mkuu Mzee Mwanakijiji , kwanza asante kwa bandiko hili, mimi lilinipita, ndio naliona leo. Nasema asante kwasababu people changes, umejitambua na umebadilika, changing for the better. Nakumbuka kule nyuma tulitofautiana ulipomuita JPM ni Alfa na Omega
Wanabodi, Hili ni bandiko la kumjibu mwana JF mwenzetu, Mkuu Mzee Mwanakijiji, aliyesema rais Magufuli ni alfa na omega, hapa mimi natofautiana naye kuwa rais Magufuli sio alfa na omega, Alfa na Omega ni Mungu tuu pekee!. Rais wa nchi sio mungu hivyo kumuita Rais Magufuli kuwa alfa na omega, ni...
www.jamiiforums.com
Laiti tungeelezwa ukweli kuwa rais wetu ni mgonjwa, Watanzania tungemuombea na miongoni mwetu kuna watu wana powers, labda saa hizi angekuwepo, ila mambo mengine ni mipango ya Mungu, siku ikifika, imefika, hata ufanye nini, huwezi kubadili matokeo, ila tungejulishwa ni mgonjwa, isingekuwa a big shock kama ilivyotokea.
Mkuu Mzee Mwanakijiji , kwanza asante kwa bandiko hili, mimi lilinipita, ndio naliona leo. Nasema asante kwasababu people changes, umejitambua na umebadilika, changing for the better. Nakumbuka kule nyuma tulitofautiana ulipomuita JPM ni Alfa na Omega
Wanabodi, Hili ni bandiko la kumjibu mwana JF mwenzetu, Mkuu Mzee Mwanakijiji, aliyesema rais Magufuli ni alfa na omega, hapa mimi natofautiana naye kuwa rais Magufuli sio alfa na omega, Alfa na Omega ni Mungu tuu pekee!. Rais wa nchi sio mungu hivyo kumuita Rais Magufuli kuwa alfa na omega, ni...
www.jamiiforums.com
Laiti tungeelezwa ukweli kuwa rais wetu ni mgonjwa, Watanzania tungemuombea na miongoni mwetu kuna watu wana powers, labda saa hizi angekuwepo, ila mambo mengine ni mipango ya Mungu, siku ikifika, imefika, hata ufanye nini, huwezi kubadili matokeo, ila tungejulishwa ni mgonjwa, isingekuwa a big shock kama ilivyotokea.
Nani angekujulisha Pascal Mayalla ?!. Hawa waliosema "Rais yuko ikulu anachapa kazi au mlimtaka manzese" . Tena mtu anasema hayo akiwa kwenye mwimbari wa Imani !! Tatizo ni aina ya serikali tuliofikiria kuiendesha (U COMMUNIST). Kwenye u communist hua wana siri za kipuuzi kama hizi tulizozishuhudia hapa kwetu . Wanaziita UZALENDO . Mfano ni North Korea ambapo kiongozi akiugua inakuwa siri kubwa.
U communist haulipi popote duniani na hata kwetu hapa haiwezi kuutoa nchi mrisi.
Mkuu Mzee Mwanakijiji , kwanza asante kwa bandiko hili, mimi lilinipita, ndio naliona leo. Nasema asante kwasababu people changes, umejitambua na umebadilika, changing for the better. Nakumbuka kule nyuma tulitofautiana ulipomuita JPM ni Alfa na Omega
Wanabodi, Hili ni bandiko la kumjibu mwana JF mwenzetu, Mkuu Mzee Mwanakijiji, aliyesema rais Magufuli ni alfa na omega, hapa mimi natofautiana naye kuwa rais Magufuli sio alfa na omega, Alfa na Omega ni Mungu tuu pekee!. Rais wa nchi sio mungu hivyo kumuita Rais Magufuli kuwa alfa na omega, ni...
www.jamiiforums.com
Laiti tungeelezwa ukweli kuwa rais wetu ni mgonjwa, Watanzania tungemuombea na miongoni mwetu kuna watu wana powers, labda saa hizi angekuwepo, ila mambo mengine ni mipango ya Mungu, siku ikifika, imefika, hata ufanye nini, huwezi kubadili matokeo, ila tungejulishwa ni mgonjwa, isingekuwa a big shock kama ilivyotokea.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.