secret file
JF-Expert Member
- Sep 10, 2019
- 5,843
- 8,637
Natamani nikuzabue kofi zitoKosa langu ni kumsalimia Mwanakijiji ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Natamani nikuzabue kofi zitoKosa langu ni kumsalimia Mwanakijiji ?
Kwa amani kabisaMzee wetu amepumzika
Sawa mkuuLissu nimuongo kama waongo wengine na AIBU ITAKAYO WAKUTA NADHANI ITAKUWA ZAIDI YA ILE AIBU YA UCHAGUZI.
jamani tuache tu jamani, loh i am thinking of mama maguKule kuzimu kapewa unyampara nasikia wanakuzimu wamekomaa Atake asitake lazima aongezwe.
Mataga, unapata wapi nguvu za kuzabua watu makofi mazito? Badala ya kuipigania Legacy, wewe unataka kuanzisha vurugu za kuzabua watu vibao!Natamani nikuzabue kofi zito
Dogo acha mbwembwe na porojo jamvini. Jıkıte kwenye mada iliyopo mezani.Natamani nikuzabue kofi zito
Waje tu tunawatoa kwa T.K.OWanakuja kwa kasi ya 4g
Unamuachaje Majaliwa ambaye umeweka uzi wake kwa rejea?RC aliyewadanganya watu na yule Balozi wangetenguliwa...ila sijui nani angebaki huko juu
Ushaenda kumhani?jamani tuache tu jamani, loh i am thinking of mama magu
😂😂😂😂💃🏾🕺🏽🕺🏽💃🏾🕺🏽💃🏾Anaumwaje mkuu? Kwani lile li convoy jammer na mitutu ile imeshindwa kuzuia mashambulizi?
Utanionea tu mkuu wanguNatamani nikuzabue kofi zito
Au nasema uongo ndugu zangu?😂😂😂😂💃🏾🕺🏽🕺🏽💃🏾🕺🏽💃🏾
Kule kuzimu kapewa unyampara nasikia wanakuzimu wamekomaa Atake asitake lazima aongezwe.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Chahali anadanganya watu aliwahi kuwa mwajiriwa TISS. Hili jambo limeondoa sifa kidogo iliyobaki ya Tundu Lissu....Kigogo hii ni mara ya pili, amepoteza credibility
Majaliwa alichemka hapo.Mnataka aonekane ili aende wapi, kariakoo au magomeni?
Hii aibu isije rudia tena.Serikali iwe wazi kwenye Afya ya viongozi wetu.Hawa viongozi wanawajibika kwetu wapiga kura,lazima tupate taarifa sahihiHii ilikuwa aibu kubwa kwa Tanzania
Bado LISSU ni MUONGO sana , eti anaulizia JPM ALIPO, KWANI KILA RAIS ANAPOKUWA NA MAMBO YAKE LAZMA AKWAMBIE?Lissu nimuongo kama waongo wengine na AIBU ITAKAYO WAKUTA NADHANI ITAKUWA ZAIDI YA ILE AIBU YA UCHAGUZI.