Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Kosa langu ni kumsalimia Mwanakijiji ?I'm afraid Erythrocyte s have abandoned their apointed vital circulatory functions just to embark on fishy political moves. Shame on you!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kosa langu ni kumsalimia Mwanakijiji ?I'm afraid Erythrocyte s have abandoned their apointed vital circulatory functions just to embark on fishy political moves. Shame on you!!!
17.3.2021Muda utaongea
OkBabu yetu mzee jiwe yubukheri wa Afya.
Atawale milele kama vipi🥲Aongezewe muda
KwakweliAtawashangaza watu pale atakapo kuja na teuzi ya katibu Mkuu CCM.
HahahahahaaKwakweli
Aleikum salaam sheikhBabu yetu mzee jiwe yubukheri wa Afya.
Bado hajaja tu? 😊😊Atawashangaza watu pale atakapo kuja na teuzi ya katibu Mkuu CCM.
Wanakuja kwa kasi ya 4gHumu nimeona mataga wako chamani na bado pia na wao wanafichwa siri zao.
Upinzani unafaida sana nchini, nyie Mataga bado ni wabichi sana kichwani 😂😂.
Mzee habari yako
🤣🤣🤣Sio lazima. Mwanzo alizushiwa kifo na hakuwahi kutokeza mtu yeyote kukanusha. Kwahiyo wacha wajinga waendelee kutiana ujinga.
😁😁Huyu mnaetaka atawale milele ndo mnataka akiumwa isemwe?
Inakukera how?
Ndio maana SABAYA alionekana pale msibani akilia sana, NADHANI kwa hofu.Ifike mahali wakizusha ikabainika sio kweli wakione cha mtema kuni
Walimzushia Sabaya, kaonekana mzima hana hata dalili na bila aibu wapo tu wanadunda
Tulinyimwa wasaa wa kumuombea Lissu , tukanyimwa kumuombea JIWE maana hatukuambiwa alipo, tena wakubwa wakatwambia yupo mapumzikoni, mara yupo salama, mara ametoa fedha za maendeleo.Yaani inaudhi tumepitia huku kila baada ya miezi kadhaa sijui wapi wanaombea au kumngojea Rais aumwe? Ili kiwe nini?
Kama anaumwa vya kutisha mnasema, kama ni uzushi mnasema na hata kumwonyesha kama alivyofanyiwa Dr. Mpango.
Nililisema hili hata wakati wa zile tetesi nyingine wakati ule. Rais ni Mwanadamu, hata kama wakati mwingine anazungumza kama mwenye ufunguo wa mbinguni. Mwisho mtasababisha taharuki isiyo ya lazima na kufanya watu wamposti Mama Samia tena.
Kama anahitaji kuinuliwa katika maombi huu ndio wakati. Kama hakuna jambo serious mnasema hivyo nakerekaga kweli.
===
UPDATE 12.03.2021:
Waziri Mkuu atoa kauli: Waziri Mkuu Kassim Majaliwa: Rais Magufuli ni mzima na anachapa kazi. Wanataka atoke aende wapi, Kariakoo au Magomeni?
Kule kuzimu kapewa unyampara nasikia wanakuzimu wamekomaa Atake asitake lazima aongezwe.Aongezewe muda