Missile of the Nation
JF-Expert Member
- May 24, 2018
- 15,101
- 56,054
Aende Chato akapige nyungu aache kupoteza muda
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nahisi safari hii ataibukia kwa mama lishe pale Magufuli Bus Station akipiga wali samaki[emoji1787][emoji1787]Umenichekesha au aende soko la samaki,afu hio kny picha sio courgett (sijui spelling)
Usilete siasa za maji taka hapa!!Jinsi navyompenda rais.. namuombea awe mzima muda wote.. mafisadi watatamba sana kama zamani
Yaani inaudhi, tumepitia huku kila baada ya miezi kadhaa..sijui wapi wanaombea au kumngojea Rais aumwe? Ili kiwe nini...
Kama Anaumwa vya kutisha mnasema...Kama ni uzushi. Mnasema..na hata kumwonyesha Kama alivyofanyiwa Dr. Mpango ..
Jinsi Rais wetu tunavyo mfahamu huwa haipiti week lazima tungemsikia, so ukimya huu lazima watu wahoji aseee, we upo dunia ipi?Sio lazima kujibu kila tetesi, utajibu ngapi?
Wabongo kila siku wanastory mpya ukianza kujibizana nao utaishia kufanya kazi hiyo tu mwaka mzima.
Yaani una maana hospitali kubwa kama KNH inakataa kupokea wagonjwa kwa sababu yupo Magufuli! Yaani huo ni uongo kupita kiasi. Mtamuombea ugonjwa mtaugua nyie, mtamuombea kifo mwishjo mtakufa nyie. Acheni uzushi na chuki!Kuna jamaa angu yuko Nairobi ananiambia Nairobi Hospital hakuingiliki kabisa, haijulikani kuna nini ila ulinzi wa pale haijawahi tokea, wagonjwa wanashauriwa kwenda Hospitali zingine.
Ndo mbwembwe atakayoingia nayo...atatusuta huyo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Atawashangaza watu pale atakapo kuja na teuzi ya katibu Mkuu CCM
Hivi hapa kuna mtu aliyesema anafurahia Rais kuumwa?Swala la ugonjwa wa mtu lisiwe jambo la kushadadia jamani, this is sad..
Hivi Nairobi hospital ni ya serikali kama Muhimbili au ni zile za Agakhan?Kuna jamaa angu yuko Nairobi ananiambia Nairobi Hospital hakuingiliki kabisa, haijulikani kuna nini ila ulinzi wa pale haijawahi tokea, wagonjwa wanashauriwa kwenda Hospitali zingine.
Ifike mahali wakizusha ikabainika sio kweli wakione cha mtema kuniSio lazima kujibu kila tetesi, utajibu ngapi?
Wabongo kila siku wanastory mpya ukianza kujibizana nao utaishia kufanya kazi hiyo tu mwaka mzima.
Mbona ya Mpango ilijibiwa ki style... hata ile ya kwanza alijibu si unakumbuka he was weak lkn ikabidi aje kuapisha. All in all kuwa mgonjwa haimaanishi u r weak.. ni binadamu na tuna haki ya kikaktiba kujua hali ya amiri jeshi mkuu wetu.Sio lazima kujibu kila tetesi, utajibu ngapi?
Wabongo kila siku wanastory mpya ukianza kujibizana nao utaishia kufanya kazi hiyo tu mwaka mzima.