Yuko wapi Rais Magufuli? Msiache tetesi zienee. Kama anaumwa mnasema "ANAUMWA"

Status
Not open for further replies.
Kama hii ni kweli, Watanzania wote tuna wajibu wa kumuombea kwa Mola aweze kupona kwa haraka na kuendelea na shughuli zake kama zamani - Taifa letu bado linamuhitaji sana binadamu huyu ambaye ame idhilishia Dunia katika uwezo wake kikazi, uwajibikaji na uongozi uliyo tukuka.

Tukumbuke kwamba mpaka sasa viongozi wengi mashuhuri wamekwisha patwa na ugonjwa huu wakashughulikiwa na madktari mabingwa wakapona,mfano: Rais Donald Trump na mkewe, Rais wa Ufaransa,Angela Merkel wa Ujerumani, Waziri mkuu wa Uingereza, Prince Charles nk, wote hao walipewa dawa wakapona bila ya kutumia chanjo.

Siku za hivi karibuni kuna dawa ambayo inaonyesha kutia matumaini mapya ya kupambana na virus vya COVID-19 kikamilifu- dawa hiyo sio ngeni uligunduliwa na mwana sayansi wa Kijapan kwenye miaka 1970s - inatibu wanyama na wanadamu kwa ufanisi wa hali vyao juu - wana sayansi wameinjaribu kwa wagonjwa wa Kovid ja wapo ikiwa ni Vidonge vya kutibu matenda ivermectin - dawa hii inapigwa vita sana na makampuni yanayo kuzalisha chanjo, hawaitaki kwa kuwa ni cheap kuliko chanjo-huko Merikanki kwa mfano kuna majibo yamekwenda mpaka mahakamani kulazimisha Uongozi wa majimbo hayo kuruhusu vidonge vya matende kutibu jamaa zao walio kumbwa na Covid-19,kuna mama fulani mwenye umri wa miaka 86 alishawekwa mpaka kwenye ventillator, cha ajabu baada ya bibi huyo kupewa vidonge vya invermectin, hali yake iliendelea vizuri na akapona kabisa - mataifa mengi ya Latin Amerika na Ulaya yanatumia dawa hii kuponyesha raia wake na hii "wonder drug" na sisi Tanzania tuanzishe zoezi hili muhimu kwa wale wanao umwa. Kama kweli Kiongozi wetu wa Taifa anaumwa binafsi naona ingekuwa vema kama wangeletwa wataalamu wa Kichina wenye uzoefu kumtibu au Taifa limpeleke huko huko Uchina kwa uangalizi wa karibu zaidi, kuliko Kenya.Hayo ni maoni yangu.
 
Kijazi hadi kafa IKULU kimyaaaaa Mpango hoi taabani kalazwa hospital Ikulu/Serikali kimyaaaaa lakini mitandaoni hilo la kuumwa kwake lilikuwepo. Toa ujinga wako!
Mkuu mbona hakuna anayeuliza ule uzushi kwa Sabaya vipi? Kama hizo source zilishare famba kwa Sabaya wataweza kwa mkuu wa nchi?
 
Hahaa mwizi akiibiwa hulalamika sana.
Sio nyie viongozi wenu walisema zitto kabwe auliwe?
Sio nyie mnaomwita Tundu Lissu mabaga?
Asee nyie ni wabinafsi mnaopenda kutesa peke yenu.
Kama mnaombea wenzenu mabaya na nyie mtegee vivo hivo unavuna ulichopanda.
 
Kwani dawa yake pendwa ya mvuke kujifukiza imefeli ? Malimao, tangawizi , kitunguu swaumu anavyotwambiaga tuvitumie hakuvitumia? Na yale ma NIMR Kafu yamefeli ?
 
Kiongozi wetu anaumwa au yuko mzima?
Kwa sasa yuko wapi?

Habari za kuumwa Corona na kulazwa Nairobi zimetolewa rasmi na vyombo vya habari za Kenya siku ya Jumanne usiku, kabla ya hapo kulikuwa na trend za tetesi tu mitandaoni.

Haya ndio maswali muhimu ya kujiuliza.
1. Waandishi wa vyombo vikubwa vya habari vya Kenya kama NTV wanaweza kutengeneza uzushi mkubwa namna hiyo kwa kiongozi wetu?

2. Je, mamlaka za Tz zimeshindwa kukanusha taarifa hizo kwa ushahidi wa wazi ndani ya masaa 24 toka kuzagaa kwa hizo taarifa?

3. Kwanini Nairobi Hospital wameshindwa kukanusha hizo taarifa na badala yake wameishia kusema 'No comment' ?

4. Kwanini BBC yenye ofisi kuu kwa kanda hii pale Nairobi wameipa nguvu na mwendelezo taarifa ya kuumwa rais wetu?

PANAPOFUKA MOSHI PANA MOTO CHINI.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…