Hii ni taarifa ya Lissu kwa BBC! Aibu aibu aibu! BBC wanashindwa ku balance story yaani! Viwanda vya uongo ni vile vile ...[emoji41]
Ni kweli. Tusubiri kama Serikali itaendelea kukaa kimya. Nairobi hospital wao wamekataa kuthibitisha wala kukanusha walipoulizwa.