Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaani Chadema wengi humu mnaombea mtu kifo kweli? Imefikia roho hiyo kweli? 😠😡
Sioni tatizo lolote mbona Lissu alipelekwa hospitali hiyohiyo na Habari zake zilikuwa zinamfikia Raisi mezaniKama hizi taarifa ni za kweli basi tuna mfumo mbovu sana... Huyo ni Rais and then kuna watu wanajua hatua zake kibao kabla
Unajua utofauti wao au ulilonalo kichwani ndio unaletaSioni tatizo lolote mbona Lissu alipelekwa hospitali hiyohiyo na Habari zake zilikuwa zinamfikia Raisi mezani
Sasa hivi Habari za Raisi kumfikia Lissu mezani kunashida gani.
Kati yao nani mkubwa ambaye taarifa anapaswa kujitambua kama kazi yake alafu nini shida ushabiki usio na maana?Sioni tatizo lolote mbona Lissu alipelekwa hospitali hiyohiyo na Habari zake zilikuwa zinamfikia Raisi mezani
Sasa hivi Habari za Raisi kumfikia Lissu mezani kunashida gani.
Mkuu tulia kama maji ya mtungini, nyie mnao ombea hayo msubiri dawa ijayo.Aliyekua Nairobi hospital jana na kuleta taharuki ni odinga na hakulazwa.
Umesikia kuna mwenye mapembe hapoKati yao nan mkubwa
Kwa kweli unaweza kujilipua. This man changed my whole life situation. Anyway nishamsamehe nae Mungu amsaidie[emoji854]
Mbona unaleta ujuaji, jibu.Huwezi ukampiga mwenzio risasi halafu unamfuatilia kuona kama anakufa sio poa kabisa
Unahakika gani kama muhusika yeye au unasema tu?Huwezi ukampiga mwenzio risasi halafu unamfuatilia kuona kama anakufa sio poa kabisa
Yah right. Kwa Tume ya Mahela, Nchi inahitaji Wanaharakati kwa Sasa.CDM siyo chama cha siasa tena bali ni chama cha wanaharakati.
Yeye ndio alisema kuwa atamnyoosha Tundu LissuUnahakika gan kama muhusika yeye au unasem tuu
Subira yavuta kheri.
Nililisema hili hata wakati wa zile tetesi nyingine wakati ule. Rais ni mwanadamu, hata Kama wakati mwingine anazungumza kama mwenye ufunguo wa mbinguni