Yuko wapi Rais Magufuli? Msiache tetesi zienee. Kama anaumwa mnasema "ANAUMWA"

Yuko wapi Rais Magufuli? Msiache tetesi zienee. Kama anaumwa mnasema "ANAUMWA"

Status
Not open for further replies.
Loo Mzee Mwanakijiji " Kwamba kuna wakati Rais anazungumza kama mwenye ufunguo wa Mbinguni" . Huo mtazamo wako sio sahihi
 
Yaani Chadema wengi humu mnaombea mtu kifo kweli? Imefikia roho hiyo kweli? 😠😡

Eee ndo hivo afe tuu.

Mwanakulitafuta mwanakulipata. Ila sijui ni nani huyo.
Kila mtu atavuna alichapanda
 
Kama hizi taarifa ni za kweli basi tuna mfumo mbovu sana... Huyo ni Rais and then kuna watu wanajua hatua zake kibao kabla
Sioni tatizo lolote mbona Lissu alipelekwa hospitali hiyohiyo na Habari zake zilikuwa zinamfikia Raisi mezani

Sasa hivi Habari za Raisi kumfikia Lissu mezani kunashida gani.
 
Sioni tatizo lolote mbona Lissu alipelekwa hospitali hiyohiyo na Habari zake zilikuwa zinamfikia Raisi mezani

Sasa hivi Habari za Raisi kumfikia Lissu mezani kunashida gani.
Unajua utofauti wao au ulilonalo kichwani ndio unaleta
 
Aliyekua Nairobi hospital jana na kuleta taharuki ni odinga na hakulazwa.
 
Sioni tatizo lolote mbona Lissu alipelekwa hospitali hiyohiyo na Habari zake zilikuwa zinamfikia Raisi mezani

Sasa hivi Habari za Raisi kumfikia Lissu mezani kunashida gani.
Kati yao nani mkubwa ambaye taarifa anapaswa kujitambua kama kazi yake alafu nini shida ushabiki usio na maana?
 
Kwa kweli unaweza kujilipua. This man changed my whole life situation. Anyway nishamsamehe nae Mungu amsaidie[emoji854]

Katika njia zako zote mkiri Mungu naye atanyoosha njia zako zote. How comes mwanadamu kama wewe abadili maisha yako?? Really ? Na kazi ya Mungu kwako ni Ipi?.
 
They are all clowns and jokers.
No one care!

Kama hawana time na afya za watanzania wote jitu linasema chanjo mbaya yaani linadanganywa na gwajipornboy na linakubali kabisa.

Unadhani hata wasaidizi wake wana akili gani? Wote hamnazo
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom