Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani mimi nimesemaje?Hivi na wewe ukibanwa sawasawa utaweza kueleza Rais wetu yu wapi?
Mkuu, this shit is seriously, hapa siyo kama n rumours nooo. Kikubwa tumwombee apone basi.Tunawaacha mbwabwaje kwanza ili tuje tuwabinue kisawasawa!!
Una uhakika gani next week atakuwa amepona?Subiri next week then you will know the reality!!
Hapana sio sawa, Rais ni kama baba katika familiaTunawaacha mbwabwaje kwanza ili tuje tuwabinue kisawasawa!!
Una uhakika gani next week atakuwa amepona?
Kumbe upo?Una uhakika gani next week atakuwa amepona?
Una uhakika gani next week atakuwa amepona?
Nani kasema mbona yule Profesa matongo amemuita MunguMagufuli ni mwanadamu
We have a particular mission to accomplish you just wait a while. It could be this week, depends with the mission itself just wait bro.!Hapana sio sawa, Rais ni kama baba katika familia
Baba anapozushiwa jambo halafu wenye mamlaka ya kukanusha wamekaa kimya, sababu ya kukaa kimya ni nini, mnavunja katiba, wananchi wana haki kikatiba kujua alipo na kujua usalama wake, sababu ya kukaa kimya ukisema kua mnaacha halafu ndio waiubuke, nadhani ni uhuni kufanya hivyo
Pekua dictionary acha uvivu."maana" ninamaanisha nataka tafsiri!?